Namibia kutumia mbwa kugundua virusi vya corona

Namibia kutumia mbwa kugundua virusi vya corona

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mbwa


Chuo Kukuu cha Namibia kitengo cha sayansi ya mifugo kinawafundisha mbwa kubaini virusi vya corona kwa kunusa.

Mpango wa nchi hiyo ni kuwapelea mbwa hao katika viwanja vya ndege na vituo vya mpakani, kwa mujibu wa mtandao wa The Namibian.

Mbwa wamethibitishwa kuwa na uwezo wa kubaini virusi vya corona kwa aslimia 95, mhadhiri wa somo la tiba ya wanyama Alma Raath anasema.

Mradi huo ulianzishwa miezi miwili iliyopita, inasema taarifa ya mtandao huo wa The Namibian, lakini haujataja ni lini mbwa hao watakuwa tayari kufanya kazi.
Mtandao wa The Namibian unasema nchi hiyo itakuwa ya kwanza kutumia mbwa kubaini virusi vya corona.
 
Safi,itasaidia kuepuka lile likipimo la kuchokonoa puani
 
Back
Top Bottom