Namiungo, Tunduru maeneo yageuka chemchem

Namiungo, Tunduru maeneo yageuka chemchem

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Kata ya Namiungo Tarafa ya Tunduru wapitia changamoto baada ya maeneo yao kugeuka chemichemi pia vijito vingi vya maji kuibuka na kusababisha nyumba kupata nyufa hadi kuanguka huku vyoo vikiwa vimejaa maji na kufurika kutishia magonjwa wa mlipuko ya maambukizi kama kuharisha n.k Shule baadhi ya madarasa kuanguka



Mfano kijiji cha Mnazi Mmoja Kata ya Namiungo Tarafa ya Tunduru nyumba zinatitia huku maji yakifoka kutoka ardhini maeneo yote ya kijiji.

Mbunge na viongozi wamepita maeneo ya tarafa hiyo kujionea hali halisi kuongea na wananchi ili kuweza kuipatia serikali taarifa sahihi kwa ajili ya maamuzi kutatatua changamoto.
 
Na huko wanatumia sana unga wa miti, labda ndio maana
 
Kata ya Namiungo Tarafa ya Tunduru wapitia changamoto baada ya maeneo yao kugeuka chemichemi pia vijito vingi vya maji kuibuka na kusababisha nyumba kupata nyufa hadi kuanguka huku vyoo vikiwa vimejaa maji na kufurika kutishia magonjwa wa mlipuko ya maambukizi kama kuharisha n.k Shule baadhi ya madarasa kuanguka


View: https://m.youtube.com/watch?v=KtaBQaKa7rw

Mfano kijiji cha Mnazi Mmoja Kata ya Namiungo Tarafa ya Tunduru nyumba zinatitia huku maji yakifoka kutoka ardhini maeneo yote ya kijiji.

Mbunge na viongozi wamepita maeneo ya tarafa hiyo kujionea hali halisi kuongea na wananchi ili kuweza kuipatia serikali taarifa sahihi kwa ajili ya maamuzi kutatatua changamoto.

Jamani poleni sana mvua ya mwaka ni balaa,wale walioko mabondeni wahamie sehemu zenye mwinuko au sehemu salama kunusuru uhai.Uhai haununuliwi kwa pesa yoyote bali uhai hulindwa.
 
Back
Top Bottom