Namkubali sana mwamba labani Og

Tariq f

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2021
Posts
233
Reaction score
347
Habari wadau

Huyu mwamba labani og namkubali sana humu jf, jamaa comments zake ndo zinaniacha hoi na kunivunja mbavu na hata nyuzi zake,

Nimesoma uzi wa umughaka nikaona posts zake akijifanya anaendeleza story ya umughaka, aiseee ni vituko tu!

Huyu ni member wangu bora wa mwezi
 
Kwani kuwa maarufu humu kuna malipo yeyote?
Maana kuna vitu vingine hata mantiki havina, ukaache kazi zako ufungue account fake ili uje kusifia account yako fake nyingine maana asilimia kubwa humu ni ma account fake kwa vile hatutumii majina halisi.

Haya Bwana Laban aka Tariq f jitihada zako tumeziona.
 
Toxic me siwez kudangany mkuu,
 
Subiri comments za wandewa
 
Ngoja kidogo
 
Kuna jamaa alisema ana account fake zaidi ya 5 nyingine anatumia majina ya kike na watu wanafunguka sana huko inbox na kuhonga kabisa...
Angalau wewe una account 2
 
Kuna jamaa alisema ana account fake zaidi ya 5 nyingine anatumia majina ya kike na watu wanafunguka sana huko inbox na kuhonga kabisa...
Angalau wewe una account 2
[emoji16][emoji16][emoji16] sawa bhn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…