Namkumbuka Saddam Hussein na Muamar Ghadaf. Walikuwa Mashujaa kweli kweli

Namkumbuka Saddam Hussein na Muamar Ghadaf. Walikuwa Mashujaa kweli kweli

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Ghadaffi alikataa kukimbia nchi akapambana mpaka tone la mwisho. Alipambana akafa akipambana. Hakukimbilia kwa mabeberu, alipambana akashinda.

Saddam Hussein naye alikataa kukimbia. Alipambana mpaka mwisho. Mpaka naye akapambana na kupambana akashinda.

Assad, khaaaaah! Salaleeeeeh awezaje kimbia nchi yake kwenda hifadhiwa na mabeberu? Walau angekimbilia Iran hapo au nchi nyingine siyo za wavaa misalaba. Hilo limenisikitisha sana.
 
Ghadaffi alikataa kukimbia nchi akapambana mpaka tone la mwisho... Alipambana akafa akipambana. Hakukimbilia kwa mabeberu...alipambana akashinda.

Saddam Hussein naye alikataa kukimbia....alipambana mpaka mwisho. Mpaka naye akapambana na kupambana akashinda.

Assad, khaaaaah...salaleeeeeh awezaje kimbia nchi yake kwenda hifadhiwa na mabeberu? Walau angekimbilia Iran hapo au nchi nyingine siyo za wavaa misalaba. Hilo limenisikitisha sana.
Kufa au kupona unachagua nn?
 
Hao unaowasema kama mashujaa walibanwa ndipo wakashindwa kutoroka lakini walikuwa ni wa kutoroka tu.

Gadaffi wakati wananchi wake wanamsulubisha alikuwa katika harakati za kutorokea Algeria alipokuwa mkewe ndipo wakamuopoa kwenye mtaro.
 
Ghadaffi alikataa kukimbia nchi akapambana mpaka tone la mwisho. Alipambana akafa akipambana. Hakukimbilia kwa mabeberu, alipambana akashinda.

Saddam Hussein naye alikataa kukimbia. Alipambana mpaka mwisho. Mpaka naye akapambana na kupambana akashinda.

Assad, khaaaaah! Salaleeeeeh awezaje kimbia nchi yake kwenda hifadhiwa na mabeberu? Walau angekimbilia Iran hapo au nchi nyingine siyo za wavaa misalaba. Hilo limenisikitisha sana.
Gadafi alikutwa amejificha kwenye mitaro ya maji machafu wakati sadam alikuwa kwenye chemba za choo, wote hao waoga tu, bora hata sinwar yy kifo kimemkuta kwenye sofa akiangalia drone ya muizrael huku akiichezea na fimbo
 
Wasiwasi ndiyo akili, mwamba kaona Allah amejificha nayeye kaamua kulala mbele.
 
Back
Top Bottom