Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,415
Nimeona POST ya jamaa mmoja akilalamika kuwa WAZAZI WAKE WALIMFUKUZA NYUMBANI.
Daaahh..!!! KANIKUMBUSHA sana SHANGAZI YANGU...
Ngoja nimpe TESTIMONY yangu kidogo......
Kifupi mi ni YATIMA tokea mdogo sana.
Then nimelelewa na ndugu wengii ila wa mwisho alikua ni SHANGAZI.
Niliondoka home (kwa SHANGAZI) advance level (form 5) baada ya kuona maisha ya kwa ndugu siyaelewi nikaenda kuishi gheto..
Nilikua nasoma government halafu hata HAWAFUNDISHII
Nikaanza kuuza biashara ndogondogo K.koo usiku (nikitoka darasani) ili kukidhi maisha yangu, hizi biashara nilizianza nilivyomaliza Form 4...
NILISAHAU KABISA KUSOMA.
Form 6 mock nikapata Division 0 (PCB all F)
Matokeo yangu yalivyofika home SHANGAZI aliniambia ""Nilikua najua nini unafanya na nimekua Sanaa mteja wako, ila SIJAPENDA MATOKEO YAKO, Naomba soma, tafuta hata S mbili nijue pakuanzia""
NILIKAMUA BALAA na WATOTO wa MCHIKICHINI TUTION CENTER.
Nikaingia NECTA matokeo yalivyotoka nikapata Division 4.18 (Physics = E, Chemistry = F, Biology = S)
Shangazi akaniashauri nikachukue form kwenye chuo cha afya kuanza kusomea CLINICAL OFFICER...
NIKAGOMA na kumjibu ""MI SIWEZI KUSOMEA UDAKTARI KWASABABU SIJAWAHI MUONA DAKTARI TAJIRI""
Hili jibu nilimuuma sana akanijibu "USIRUDI NYUMBANI BILA DIPLOMA na TOKA KWANGU""
Dah nilikomaa na biashara ndogondogo na kusomea DIPLOMA ya masomo ya biashara...
Nilirudi home kumuomba msamaha nikiwa na BACHELOR...
Shangazi alinijibu ""HUJAWAHI KUNIKOSEA"".
Na akanipa Fedha ya kwenda kufanya REGISTRATION kusoma MASTERS.
Hata sijui alijuaje kama nimefanya APPLICATION.
Huyu MAMA namkumbuka sanaa..
Kwa kunifukuza HOME ALINIFUNDISHA SANAAA MAISHA.
BILA KUNIFUKUZA SIJUI NINGEKUWA WAPI.
NAKUPENDA SANAA SHANGAZI YANGU.
ULINIPA UPENDO WOTEE WA WAZAZI.
Nasikiaga tu "SHANGAZI WANATESA YATIMA" ila wewe ni "Mungu WANGU DUNIA HII
Kijana wa kiume komaa UNAKAAJE HOME na huku shule ushamaliza?
#ASANTE.
#YNWA.
Daaahh..!!! KANIKUMBUSHA sana SHANGAZI YANGU...
Ngoja nimpe TESTIMONY yangu kidogo......
Kifupi mi ni YATIMA tokea mdogo sana.
Then nimelelewa na ndugu wengii ila wa mwisho alikua ni SHANGAZI.
Niliondoka home (kwa SHANGAZI) advance level (form 5) baada ya kuona maisha ya kwa ndugu siyaelewi nikaenda kuishi gheto..
Nilikua nasoma government halafu hata HAWAFUNDISHII
Nikaanza kuuza biashara ndogondogo K.koo usiku (nikitoka darasani) ili kukidhi maisha yangu, hizi biashara nilizianza nilivyomaliza Form 4...
NILISAHAU KABISA KUSOMA.
Form 6 mock nikapata Division 0 (PCB all F)
Matokeo yangu yalivyofika home SHANGAZI aliniambia ""Nilikua najua nini unafanya na nimekua Sanaa mteja wako, ila SIJAPENDA MATOKEO YAKO, Naomba soma, tafuta hata S mbili nijue pakuanzia""
NILIKAMUA BALAA na WATOTO wa MCHIKICHINI TUTION CENTER.
Nikaingia NECTA matokeo yalivyotoka nikapata Division 4.18 (Physics = E, Chemistry = F, Biology = S)
Shangazi akaniashauri nikachukue form kwenye chuo cha afya kuanza kusomea CLINICAL OFFICER...
NIKAGOMA na kumjibu ""MI SIWEZI KUSOMEA UDAKTARI KWASABABU SIJAWAHI MUONA DAKTARI TAJIRI""
Hili jibu nilimuuma sana akanijibu "USIRUDI NYUMBANI BILA DIPLOMA na TOKA KWANGU""
Dah nilikomaa na biashara ndogondogo na kusomea DIPLOMA ya masomo ya biashara...
Nilirudi home kumuomba msamaha nikiwa na BACHELOR...
Shangazi alinijibu ""HUJAWAHI KUNIKOSEA"".
Na akanipa Fedha ya kwenda kufanya REGISTRATION kusoma MASTERS.
Hata sijui alijuaje kama nimefanya APPLICATION.
Huyu MAMA namkumbuka sanaa..
Kwa kunifukuza HOME ALINIFUNDISHA SANAAA MAISHA.
BILA KUNIFUKUZA SIJUI NINGEKUWA WAPI.
NAKUPENDA SANAA SHANGAZI YANGU.
ULINIPA UPENDO WOTEE WA WAZAZI.
Nasikiaga tu "SHANGAZI WANATESA YATIMA" ila wewe ni "Mungu WANGU DUNIA HII
Kijana wa kiume komaa UNAKAAJE HOME na huku shule ushamaliza?
#ASANTE.
#YNWA.