Namna au jinsi ya kupika crisps nzuri!

Namna au jinsi ya kupika crisps nzuri!

MIAMIA.

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2011
Posts
210
Reaction score
82
JF salaam!

Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza,naomba mwenye maujuzi ya kupika crisps anisaidie napenda sana hii kitu nahitaji wife awe ananiandalia nyumbani badala ya kununua kila siku yani pale ninapojisikia...iwe crisps ya aina yoyote yani ndizi,kiazi n.k

Amani na iwe nanyi...


============================================

Queen___ said
Habari wana Jf...
Nimepokea suggestion pm kuhusu utengenezaji wa crisps za viazi

MALIGHAFI
1.VIAZI MBATATA KIASI
2.CHUMVI
3.MAFUTA YAKUPIKIA YA MAJI
4.MASHINE YA KUPARUZIA KAROTI

NAMNA YA KUPIKA
Menya viazi vyako kisha vioshe vizuri hakikisha huviachi na majimaji. Katakata kwa kutumia mashine au kama huna tumia kisu kikali. Kata maduara madogo madogo.
Vianike kidogo viwe vikavu. Bandika kikaangio jikoni weka mafuta mengi yakutosha (yakiwa kidogo zitaungua chini) yaache yapate moto kisha weka viazi vyako ulivyo katakata.
Baada ya mda geuza ili visishikane wacha viive vizuri ipua nyunyiza chumvi. Wacha vipoe tayari kwa kuliwa au kuuza.

-sio mashine zote za kuparuzia karoti zina sehemu ya kukatia crisps. Ulizia madukani utaonyeshwa mashine tofauti tofauti.

Asante...
-Queen Chagga.
 
Ni suala jepesi.
1. Menya viazi/ndizi zako,

2. kata slesi nyembamba. Ni vizuri kutumia kifaa maalumu cha kukatia slesi nyembamba,

3. osha kwa maji safi,

4. weka chumvi kiasi kidogo kisha loweka kwenye maji (yawe usawa na viazi/ndizi zako) kwa muda wa dakika 20,

5. mwaga maji uliyolowekea,

6. weka mafuta kwenye kikaango kisha bandika jikoni, yakipata joto la kutosha weka slesi zako na anza kukaanga ukizigeuza mara kwa mara.

Usisahau kunionjesha jaribio lako la kwanza.
 
Habari zenu wadau.
Nahitaji msaada katika upishi wa crips/makwaru/klipsi kila mtu ananamna anavyotamka.
nikizikaanga zinashikana sana na hazitoki vizuri zikishikana hazikauki.
mwenye ujuzi wa namna ya kuzitengeneza zikatoka vizuri tafadhali
asanteni
 
Wakati umeziweka kwenye mafuta inatakiwa uwe unapitisha pitisha kijiko, unazigeuza geuza
 
asante ndugu ila huwa nafanya hivyo ila ukipitisha wakati vimeanza kuiva zinakatika katika
Duh pole...
Unakaanga kwenye ile karai? Mafuta ya kutosha, moto mwingi, ukiziweka tu unapitisha pitisha kijiko hazishikani, kama zinavunjika hapo sijui itakua ni nini mama
 
ukiwa unapika usiweke nyimbo za brekdance kwenye radio, zitaendelea kuvunjika vunjika
 
Habari wana Jf...
Nimepokea suggestion pm kuhusu utengenezaji wa crisps za viazi

MALIGHAFI
1.VIAZI MBATATA KIASI
2.CHUMVI
3.MAFUTA YAKUPIKIA YA MAJI
4.MASHINE YA KUPARUZIA KAROTI

NAMNA YA KUPIKA
Menya viazi vyako kisha vioshe vizuri hakikisha huviachi na majimaji. Katakata kwa kutumia mashine au kama huna tumia kisu kikali. Kata maduara madogo madogo.
Vianike kidogo viwe vikavu. Bandika kikaangio jikoni weka mafuta mengi yakutosha (yakiwa kidogo zitaungua chini) yaache yapate moto kisha weka viazi vyako ulivyo katakata.
Baada ya mda geuza ili visishikane wacha viive vizuri ipua nyunyiza chumvi. Wacha vipoe tayari kwa kuliwa au kuuza.

-sio mashine zote za kuparuzia karoti zina sehemu ya kukatia crisps. Ulizia madukani utaonyeshwa mashine tofauti tofauti.

Asante...
-Queen Chagga.
 
Habari wana Jf...
Nimepokea suggestion pm kuhusu utengenezaji wa crisps za viazi

MALIGHAFI
1.VIAZI MBATATA KIASI
2.CHUMVI
3.MAFUTA YAKUPIKIA YA MAJI
4.MASHINE YA KUPARUZIA KAROTI

NAMNA YA KUPIKA
Menya viazi vyako kisha vioshe vizuri hakikisha huviachi na majimaji. Katakata kwa kutumia mashine au kama huna tumia kisu kikali. Kata maduara madogo madogo.
Vianike kidogo viwe vikavu. Bandika kikaangio jikoni weka mafuta mengi yakutosha (yakiwa kidogo zitaungua chini) yaache yapate moto kisha weka viazi vyako ulivyo katakata.
Baada ya mda geuza ili visishikane wacha viive vizuri ipua nyunyiza chumvi. Wacha vipoe tayari kwa kuliwa au kuuza.

-sio mashine zote za kuparuzia karoti zina sehemu ya kukatia crisps. Ulizia madukani utaonyeshwa mashine tofauti tofauti.

Asante...
-Queen Chagga.
Hello Queen [emoji41],

Kwenye malighafi hapo nimeona mafuta ya kupikia ya maji, unamaanisha haya mafuta ya kawaida ya kupikia au?

Halafu, mimi kikaangio changu ni kidogo so naweza kujaza mafuta kulingana na ujazo wake?
 
Hello Queen [emoji41],

Kwenye malighafi hapo nimeona mafuta ya kupikia ya maji, unamaanisha haya mafuta ya kawaida ya kupikia au?

Halafu, mimi kikaangio changu ni kidogo so naweza kujaza mafuta kulingana na ujazo wake?
Hi!...
Yeah namaanisha mafuta ya sundrop....korie... Safi... Azania etc.
Kama kikaangio chako ni kidogo weka mafuta kidogo na wakati unakaanga weka viazi vyako kidogo kidogo. Kuepusha ajali maana mafuta yakinwagikia moto huya yanalipuka...
Ukifanikiwa naomba mrejesho.
 
Nilijaribu vyote lakini zilikuwa zinatoka saggy, sikujua kama ninatakiwa nizianike juani zikauke maji kwanza. Asante sana mkuu.
 
Hi!...
Yeah namaanisha mafuta ya sundrop....korie... Safi... Azania etc.
Kama kikaangio chako ni kidogo weka mafuta kidogo na wakati unakaanga weka viazi vyako kidogo kidogo. Kuepusha ajali maana mafuta yakinwagikia moto huya yanalipuka...
Ukifanikiwa naomba mrejesho.
Hivi vifaa vinaweza kukata viazi fresh?

1471070940070.jpg
 
Nilijaribu vyote lakini zilikuwa zinatoka saggy, sikujua kama ninatakiwa nizianike juani zikauke maji kwanza. Asante sana mkuu.
Mimi huwa naacha kny maji kwa muda wa one hr na zinatoka vizuri sana.
 
Back
Top Bottom