I think l am, it is easy to know urself than the otherself. And l hate to be played as a fool. Kumuamini mtu 100% ni ngumu, imagine mtu ana cheat; akiomba msamaha just kwakuwa kaomba you think hatarudia? I never cheat so mimi haipo hiyo ya kurudia. Lkn hii tofauti na kuchelewa kurudi nyumbani, akisema l am sorry; nitamwambia it is okay hny na kumtengenezea mazingira ya kupamiss nyumbani.
Sikatai l am a bit selfish kama binadamu wengi tulivyo lkn nina quality nyingine n l think is good, l am never fake. Sijui kupretend na nikisamehe nasamehe kweli!
one thing i do admire from you you are exactly like my hubby when it comes to apologizing. he is never fake and also a man of his words. akisema nimesamehe anasamehe kweli, ila mpaka awe na uthibitisho kwamba you will not repeat it. na hapa huwa anataka umtengenezee mazingira ya kwann hutorudia tena kosa ulotenda. mfano halisi
mimi ni mkali sana kwenye matumizi ya rasilimali za familia, siyo mchoyo ila pia huwa sifuji na wala sipendi mtu mfujaji na asiyejua kufanya kazi ili kukuza kipato. infact kikazi he earns more than i but mimi to compasate it i do business so nafuga na nina maduka kama miradi yangu. Ingawa kila nikihesabu total income yangu per month from all sources bado ni ndogo kwa a quoter from what he earns. sikumoja nikajisemea hivi kwanini sikufikii kimapato? it was just a normal sentence i assumed, but to him it was different akaona kabisa kwamba nataka kushindana naye as a man and worse enough i said so in front of our kids.
Kaunga just try to imagine that sentence it was then turned upside down kikaja na kipengele cha so long as you are mmachame then you want to pin down my dignity, baba alisema hadi nikaona dunia inataka kugeuka.sasa from all what he was saying nili assume ni hasira tu so i just said to him my dear nimekukwaza sana na binafsi sikupanga iwe ni kitu kama hicho naomba unisamehe. bado aka resist kwamba nimthibitishie kwamba sitokaa nianze kujilinganisha naye kama baba kwa lolote lile sasa hapa pakawa pagumu sana manake sikupaelewa nijilinganishe kivipi.ulikuwa ugomvi ambao sitokaa niusahau hadi leo hii na mwisho wa siku mimi ndiye niliyeshidwa kwa kuonekana kwamba nataka ni mdominate yeye, so nilimwambia please najua nimekukosea sana naomba give me time niende kwetu at least ili wewe hasira zipungue na mimi pia mawazo yapungue kisha ukiona wanihitaj basi nitarudi tu.
Nilisema hivyo kwani namjua ni mtu ambaye kama sipo na yupo karibu hawez kukaa pasi mimi so nikajua dhahiri kwamba nkiondoka wiki haiishi ataulizia narudi lini. kwa jeuri ya kibaba akasema nenda kabisa na naongea na baba nimweleze yote jinsi ilivyokuwa ili wakuonye. nilimsihi sana asiwaambie chochote ila miye niende kama naenda kuwasalimia kisha nitajifunza kutoka kwa mama kitu kipya. alikuwa mgumu ila baadae akakubali tena akaniambia wanangu niachie nikamwambia sawa. To me it was furaha sana manake nilijua kwanza naenda kula bata kula kulala pasi mawazo wala kazi za kufanya.
alikuwa muungwana kanipeleka hadi kwa wazazi wangu akasalimiana nao akaaga anaondoka akaniacha nikamwambia mama miye nimekuja kulala hapo kwa siku chache tumetofautiana na mr so nataka yeye apunguze hasira. Mama na baba wakaja juu ile mbaya yaani wewe umeshawah kumsikia mama yako kaachika ama kaeda kwao kujifunza adabu? jibu hapana umeshawah kutuona tunagombana jibu hapana. watoto uliowaacha unategemea nini jibu baba atawalea. jamani it was a drama. nikamsihi baba asimpigie simu kumuita amuache tu yeye mwenyewe atapiga. Hapa nikajua kabisa kwa aina ya wazazi wngu sina mtetezi so niliamsha akili kwamba isije ikatokea siku nikarud ama nikawaambia wazazi wangu chochote juu ya ndoa yangu manake hawatanisikiliza na watamtetea tu mwanaume. na hili sijui kwanini wazazi wa watoto wa kike wako hivi jamani miye naichukia sana hii tabia.
huku nyumbani kwangu pakaanza kumboa the same day, watoto stori zao zinaishia njian, usku akilala anaota vibaya next morning anaamka jambo la kwanza ananipigia sweetie naomba nije nikuchukue this life bana siiwez pasi wewe. nikamjibu sawa njoo mchana. yaani alipokuja hadi huruma tena, jeuri yote mfukoni.
so that way nikarudi kwangu kiusalama na kosa lile ambalo tulikuwa tunahitilafiana for a week separation ya siku moja tu ikalifuta. Onyo please usijaribu hii kama hujamsoma mwenzi wako vizuri ukajua anamapungufu gani na wewe unatumiaje umama wako kufeel hayo mapungufu manake kama huna it is obvious kwamba atatafuta mbadala.Pia kama wazazi wako ni aina ya wazazi wangu usijaribu aisee utakufa presha kwa kaukosa sapoti yao.