namna bora ya kukiri na kuomba msamaha kwa akina mama.

Admit what you did wrong.

Say your apology with sincerity.

Then going forward ensure the apology comports with your actions.
 
Admit what you did wrong.

Say your apology with sincerity.

Then going forward ensure the apology comports with your actions.

well said Nyani Ngabu, but muda mwingine mazingira yaweza kukurudisha nyuma ama kuushikilia msamaha wako what do you do in such situation?
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, nakupendea details, unajua sana kutoa details hadi msomaji anapata raha.

Hakuna mzazi anasapoti bintiye akirudi kwao kisa kashindwana na mmewe, labda wanaogopa aibu ya binti yao kuachika.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, nakupendea details, unajua sana kutoa details hadi msomaji anapata raha.

Hakuna mzazi anasapoti bintiye akirudi kwao kisa kashindwana na mmewe, labda wanaogopa aibu ya binti yao kuachika.

ahsante sana my dearest Kongosho, napenda sana kutoa mifano kwani as mwl naamini mwanafunzi anaelewa zaid kwa kuona uhalisia kuliko kumpa assumptions tu.

hapo kwenye wazazi my dear ni uonevu sana ifike mahalai wazazi wabadilike waone kwamba muda mwingine binti ananyanyasika na hatakiwi kuish kwa manyanyaso mimi nilikwenda kwetu nikijua napata liwazo kumbe nimekwenda kituo cha polisi na bangi yaani mpaka leo siwaelewagi wazazi wangu manake hata ile hamu ya kusema niende home nilale japo siku moja sina naenda nasalimia narudi kwangu na mnaendeleaje vizuri hata kama jana yake palilika mziki mnene. acha nife la kwangu tu. But mimi sitomfanyia hivi mwanangu wa kike serious ingawa sitamfundisha jeuri na kiburi.
 
Last edited by a moderator:
Ili nielewe vizuri swali lako, naomba mfano, tafadhali.
mfano labda mume anafanya kazi mbali na nyumbani, so mama analea watoto na mambo mengine baba kazi yake ni kutuma pesa tu. katika zingira kama hili mume karudi kakuta hakuna chochote cha maendeleo alichofanya mkewe ilihali pesa anatuma mara ya kwanza mume akasema mke akaomba samahani maisha yakaendelea. next time mazingira hayo hayo ya kuwa peke yake akili inashindwa kuamua constructively akitumiwa pesa hawez kufanya maendeleo ingawa anatamani sana akianzisha mradi unakufa na anatumia hela nyingi sana kuanzisha ila mwisho wa siku hakuna anachokipata what do you do in such situations?
 
Na kama una mengine uliyokuwa umeyaficha utaendelea kusubiri mpk ayastukie? Na akiyastukia afu akakuambia tena kwa uthibitisho utaombaje msamaha?

Popote ulipo gfsonwin naomba majibu ya hutu tuswali twangu twa kitoto.
 
Last edited by a moderator:
Popote ulipo gfsonwin naomba majibu ya hutu tuswali twangu twa kitoto.

hili swali sikujua unataka nilijibu kwa mreng gani yaani nilielekeze kwangu ama nielekeze kwa mtu yeyote yule. kwa mtu yeyote ni ngumu sana manake pple do vary, but to me the answer is simple.

mpaka naomaba msamaha na kukiri kosa langu huwa siweki tena unafiki hapo. manake ninauvua utu wangu wotewa kweli kwa muhusika insuch a way kwamba naigaragaza p yangu kwake. na hapao huwa ninakuwa na auhakika kwamba hakuna kitu kama hicho katikati yangu tena.

angalizo kwa kosa ambaloa unajua lina hidden agenda ni better usiapologize kwani unajitengenezea ukauta wa kuonekana mwongo na mnafiki.
 
Admit what you did wrong.

Say your apology with sincerity.

Then going forward ensure the apology comports with your actions.

Hapo kwenye kuadmit ndo huwa panakuwaga pagumu. Mi huwa nakimbilia kwenye "sorry" kabla sijaadmit. Am telling you me, ukiitumia sorry kwa muda muafaka na sincerely, unasamehewa hata kabla hujaulizwa what happened. Unapochelewa kuomba msamaha unaibua mengi ambayo hukuyatarajia kiasi kwamba kuomba msamaha inakuwa mbinde.
 

Aisee hiyo nayo kweli.
 
unasema sorry kabla hujaadimit umefanya nini???

Hii mpya aisee.

 
Asprin hapa inategemea uliye mkosea ana akili gani manake kama ni kwa mwanaume na aliyekosa ni mwanamke ujue ukianza na samahani basi umepigia mstari ishu ya kuachwa kwa makosa kama ya kucheat, manake atasema ni kweli umefanya so nimbie ilikuwaje and so forth approach nzuri unamwacha aseme yote kisha wewe unakiri na kutubu na kumwambia remedy yako wewe wataika iweje.
 
Last edited by a moderator:
unasema sorry kabla hujaadimit umefanya nini???

Hii mpya aisee.
Kongosho you are very right ma dear kwamba sorry haiwez kuja kabla hujaadmit. kibaya zaid kwa makosa ya mwanamke ukianza na sori tu unaambiwa ni kweli wewe umetenda so unataka msamaha wa nini. ndio maana huwa naona ni admit nikiona msamaha sipewi na propose option nyingine ambayo itakuwa rahisi kunipatia msamaha.
 
Last edited by a moderator:
Weakness yangu ni kwamba nikimuomba mtu msamaha toka moyoni afu yeye asiponielewa hua nakasirika, but all in all asante kwa darasa kipenzi gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
unasema sorry kabla hujaadimit umefanya nini???

Hii mpya aisee.

Mfano nimechelewa kurudi home nikafika usiku wa manane. Kuna cha kuadmit hapo wakati ishu iko wazi? Kabla hakujakucha nshammiminia masore ya kumwaga na mabusu mvua. Hapo nshazuia maswali kibao kesho yake ya ulichelewa wapi? ulikuwa na nani? kwanini hukunambia? etc. Au huu msamaha anauzungumzia gfsonwin ni kwa ajili ya wanaocheat kwenye mahusiano tu? Then am outta here!
 
Last edited by a moderator:


hapa namaanisha misamaha yote na hasa kwa akina mama wala siyo kwa akina baba. nyie nitawajia next time lkn leo nataka niongee na wanawake kwanza. mbona kwa mtu kama miye kucheat siyo ishu kabisa ila ishu kwangu ni kufuja mali aisee hapo utanijua miye ni mpalestina siyo siri.
 
Weakness yangu ni kwamba nikimuomba mtu msamaha toka moyoni afu yeye asiponielewa hua nakasirika, but all in all asante kwa darasa kipenzi gfsonwin

na ilo ndo kosa ambalo wababa weni huwa wanalafanya tena pale ambapo wewe mama umegundua kwamba umekosa na wataka kurudisha amani tena.
 
Mie ukiniomba msamaha kwa style hii najua humaanishi. Na uzuri akili yangu naitayarisha kuwa this will happen again sooner than later. So ikitokea wala sihangaiki kudemand explanation, nacheka tu huku napiga hesabu zangu. Kaunga ka sema alivunja mahusiano kiulaini. Yani nikikuacha wala hutajua sababu Yake.

Kwenye kila kosa, mkosewaji amechangia kwa kiasi fulani. I wanna know nimekupush vipi huko Kwenye Mauti, ili nihakikishe sifanyi tena na wewe hatua-crave kukosea tena. Kama hutoi maelezo hatuwezi kuepuka kipindupindu hichi
 

dada gfsonwin hii issue ilikuwa inaonekana ndogo lakini mbona ili-explode out of proportion kiasi hicho? au mzee si mtu wa utani hata kidogo? kwa jinsi shughuli ilivyokuwa pevu, sidhani kama utakuwa tayari tena kumchezea simba shurubu...
 
Last edited by a moderator:
dada gfsonwin hii issue ilikuwa inaonekana ndogo lakini mbona ili-explode out of proportion kiasi hicho? au mzee si mtu wa utani hata kidogo? kwa jinsi shughuli ilivyokuwa pevu, sidhani kama utakuwa tayari tena kumchezea simba shurubu...

my bro cartura wanaume huwa mnapenda sana kuwa wababe na at any point hakuna anayekubali kushindwa ma kupitwa na mwanamke kwa lolote lile hasa income. siku hizi mimi wala sitanii kwenye maeneo hayo na nitatania kwingine ila sikwenye kumlinganisha ama kumsifia mwanaume mwingine mbele yake.

tena nfamilia yangu ni ya ajabu sana kwamba mimi na mr ytunaweza kuongea matusi kabisa mimi na yeye kama stori tu za kawaida na huwa zinanoga kweli ila usilogwe katika hizo stori ukaeka za ukweli ambazo hazipend utasaga meno aisee.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…