very simple ni kupokea tu na kuanza kuonge Hallo hapa ni mochwari tukusaidie nini ?
mmmk kweli wewe mtaamu.Veri simpo! kabla y kukutana na huyo bi shost naichakuchua cm kw kuweka silent.
sasa kisa chakudundana kila siku?si achague mmoja??au aamue yeye ni playa ili atakao kua nao wawe wanajua!huwezi kua mtulivu(kua na uhusiano unaoleweka) na kubabaika at the same time.alafu mtu anakua na wawili wa nini kama mikimiki yake haiwezi?hiyo nayo inahitaji utaalamu!
DU hii kali mwanawane?...chumba cha maiti tena si kuchuliana msiba?yaani majibu naa jina lako haviendani kabisa
tatizo hataki kuvuruga upande wowote.very simple ni kupokea tu na kuanza kuonge Hallo hapa ni mochwari tukusaidie nini ?
eeeeeh HII IMETULIA MKUU, Lakiniiiiii ?yule wa upande mwingine si atapigaaaaa haoni simu ikipokelewa si itakuwa so?Veri simpo! kabla y kukutana na huyo bi shost naichakuchua cm kw kuweka silent.
Kama angekua hataki kuwaudhi wote amwache mmoja!Kwakua nao wawili tayari yuko kwenye mchakato wakuwaudhi na kuwaumiza wote!Embu kueni na huruma nyie wanaume...hapo mwenyewe anaona sifa kweli!wote anawataka na hataki amuudhi yeyote
Sasa kisa chakudundana kila siku?Si achague mmoja??Au aamue yeye ni playa ili atakao kua nao wawe wanajua!Huwezi kua mtulivu(kua na uhusiano unaoleweka) na kubabaika at the same time.Alafu mtu anakua na wawili wa nini kama mikimiki yake haiwezi?Hiyo nayo inahitaji utaalamu!
UWE NA AMANI LIZZY NATAKA KUOKOA MAISHA YA HAWA JAMAA WASIKOROFISHANE KWA KITU KIDOGO.Alafu we Tall nna wasiwasi we ndo unatafuta pakutokea!Acha usanii...kua na mmoja!Sijui itakua vipi siku uki/akigundua wote wana wanaume wengine!
2pe maujuzi.utaalamu gan?
Kuokoa maisha mwambie mshkaji atulie!!Hehe haya ntamfikishia!UWE NA AMANI LIZZY NATAKA KUOKOA MAISHA YA HAWA JAMAA WASIKOROFISHANE KWA KITU KIDOGO.
SIYO MIMI.........nisalimmie shem(wa kwenye avatar)
Jamani kuacha mpenzi wa nje kazi kweliii ni kuwa msanii tu full stop
unasevu majina ya wasichana kwa majina ya wavulana mfano jane we unasevu john mlevi. Akipiga tu unamwambia waifu hiyo simu usiipokee ukipokea tu mi naondoka huyu jamaa ni msumbufu sana atakuwa keshalewa au ka vipi izime simu yenyewe mi sitaki kutoka