Namna bora ya kupokea simu yenye zengwe.

Ehhhhhh MZAMBIA WEWE MTAALAMU MKUU NIMEKUBALI.....HIYO IMETULIA.
 

Noted.
 
Vipi akisema ngoja nipokee nimwambie kuwa mwenye simu katoka ila acha ujumbe nitamfikishia?

SASA NA WEWE UTAMRUHUSU AIPOKEE HUJITAKI AU????? AKIJARIBU KUIPOKEA, UNATOKA KWA SPIDI YA AJABU NA KUICHUKUA SIMU????
eeeeh eeeeh kumbe je sasa ufanyaje,kufumaniwa kubaya ati??????
 

Aaaah wapi, labda mkeo ndo atadanganyika na gea hizo... tena design atakuwa sio mtoto wa mjini... mi hunidanganyi na gea hizo hapo....!
 
JIBU: Naomba nikupigie baadae mkuu naendesha gari au niko katikati ya mkutano au niko katikati ya watu wengi, au niko hospitali au niko polisi au bank au chooni au niko popote ambapo simu si karibishwa
 
apokee simu aseme hivi, hello dia niko na honey hapa, nipigie baadaye
 
Aaaah wapi, labda mkeo ndo atadanganyika na gea hizo... tena design atakuwa sio mtoto wa mjini... mi hunidanganyi na gea hizo hapo....!
inamaana wewe shemeji unamwamini sana?hajakudanganya?
 
apokee simu aseme hivi, hello dia niko na honey hapa, nipigie baadaye
kudadadeki, kweli mkuu wewe ni wireless........aseme hivyo hajitaki au????????
 
mshika mawili mmoja humponyoka,bora kuwa moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu!kitu gani asichopata kwa mmoja akaridhika?kama kuna kitu anakosema si amwambie au kama kuna kitu hakijui si amfunze?mwambie aache kucheze watoto wa wenzie kama vipi awaacha woote waendelee na maisha yao.
 

Habari ya asubuhi P?

Umeshakunywa Chai? Mbona mkali hivyo leo?
 
waambie marafiki wa kiume wakuandikie meseji za mapenzi. Mwambie mpenzi wako apokee. kataa then mwambie ampigie huyo mtu.
 

:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh: kazi kwelikweli!!!!!!!!
 


Majibu uliyopata yanakinzana na ushuhuda + answers that reflects personal experiences waliyotoa wadau. I mean yanakinzana na italicized red sentence kama ulivyoiandika!
 
Wazinzi, Waasherati, Waongo, Walevi na wote watendao maovu, hawatauona Ufalme wa Mbinguni!
 
Wazinzi, Waasherati, Waongo, Walevi na wote watendao maovu, hawatauona Ufalme wa Mbinguni!

Lakini kumbuka kuwa Bwana wetu Yesu Kristu alikuja Duniani kwaajili yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…