Ehhhhhh MZAMBIA WEWE MTAALAMU MKUU NIMEKUBALI.....HIYO IMETULIA.Jamani kuacha mpenzi wa nje kazi kweliii ni kuwa msanii tu full stop
unasevu majina ya wasichana kwa majina ya wavulana mfano jane we unasevu john mlevi. Akipiga tu unamwambia waifu hiyo simu usiipokee ukipokea tu mi naondoka huyu jamaa ni msumbufu sana atakuwa keshalewa au ka vipi izime simu yenyewe mi sitaki kutoka
Jamani kuacha mpenzi wa nje kazi kweliii ni kuwa msanii tu full stop
unasevu majina ya wasichana kwa majina ya wavulana mfano jane we unasevu john mlevi. Akipiga tu unamwambia waifu hiyo simu usiipokee ukipokea tu mi naondoka huyu jamaa ni msumbufu sana atakuwa keshalewa au ka vipi izime simu yenyewe mi sitaki kutoka
Vipi akisema ngoja nipokee nimwambie kuwa mwenye simu katoka ila acha ujumbe nitamfikishia?
hiyo nayo kiasi ni nzuri.dawa ni kupokea na kuanza 'hallow x10' pasipo kupumzika kisha unasema 'naona mawasiliano mabaya' afu unakata.
iko hivi??????? Atamuumiza kistaaarabu kabisa wala maumivu hatayasikia.yani nikupe maujuzi yakumuumiza mwanamke mwenzangu??aka!
Jamani kuacha mpenzi wa nje kazi kweliii ni kuwa msanii tu full stop
unasevu majina ya wasichana kwa majina ya wavulana mfano jane we unasevu john mlevi. Akipiga tu unamwambia waifu hiyo simu usiipokee ukipokea tu mi naondoka huyu jamaa ni msumbufu sana atakuwa keshalewa au ka vipi izime simu yenyewe mi sitaki kutoka
iko hivi??????? Atamuumiza kistaaarabu kabisa wala maumivu hatayasikia.
inamaana wewe shemeji unamwamini sana?hajakudanganya?Aaaah wapi, labda mkeo ndo atadanganyika na gea hizo... tena design atakuwa sio mtoto wa mjini... mi hunidanganyi na gea hizo hapo....!
hiyo imetulia mkuu.pokelea button nyekundu, that's safe.
kudadadeki, kweli mkuu wewe ni wireless........aseme hivyo hajitaki au????????apokee simu aseme hivi, hello dia niko na honey hapa, nipigie baadaye
mshika mawili mmoja humponyoka,bora kuwa moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu!kitu gani asichopata kwa mmoja akaridhika?kama kuna kitu anakosema si amwambie au kama kuna kitu hakijui si amfunze?mwambie aache kuchezea watoto wa wenzie kama vipi awaacha woote waendelee na maisha yao.
Jamani kuacha mpenzi wa nje kazi kweliii ni kuwa msanii tu full stop
unasevu majina ya wasichana kwa majina ya wavulana mfano jane we unasevu john mlevi. Akipiga tu unamwambia waifu hiyo simu usiipokee ukipokea tu mi naondoka huyu jamaa ni msumbufu sana atakuwa keshalewa au ka vipi izime simu yenyewe mi sitaki kutoka
Heri ya mwaka mpya.
Naelewa wana JF wote ni watu safi kila mtu ana MPENZI wake mmoja tu na wengine hawana kabisa.
Lakini unamshaurije mtu ambae atapigiwa simu na mpenzi wa nje wakati yupo na mpenzi wake wa siku zote?. na kwa kweli mpenzi wake alie nae wakati simu inapigwa ni mkorofi.
JE?
1. AIPOKEE SIMU KWA KUTUMIA BUTTON NYEKUNDU???...AIZIME??
2. AIPAZE SAUTI KWA KUMUULIZA ALIEMPIGIA '' MBONA SIKUSIKII????''
3. AIACHE SIMU ILIIIIE? HADI IKATIKE YENYEWE?
KUNA JAMAA HAPA UGOMVI NA KUDUNDANA NI KILA SIKU.
Wazinzi, Waasherati, Waongo, Walevi na wote watendao maovu, hawatauona Ufalme wa Mbinguni!