figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha hayana formulaUtanashati, hapo kwenye kuvaa tai bila koti hapo sijapafaham uzuri. Mbona hata huko huko mtoni walikotengeneza tai na makoti wanapiga mashati nadhifu na tai maridadi bila koti?
Hata kuvaa chupi juu ya suruali?!Maisha hayana formula
Umafanya tu unachoona kinakubariki.
Wewe tu ukiona inakufurahisha unavaaHata kuvaa chupi juu ya suruali?!
🙁Wewe tu ukiona inakufurahisha unavaa
Nataka mashuka...Wewe tu ukiona inakufurahisha unavaa
Yapo ya Uganda
8*8
55,000
Na 35000/=
Sio suruali. Mkanda unatakiwa ufanane na VIATU.Hapo kwenye mkanda sikubaliani...mkanda wa light brown unavalia na suruali yoyote
Yes! Yes...nilimaanisha kiatu chochoteSio suruali. Mkanda unatakiwa ufanane na VIATU.