Namna gani inashauriwa kushiriki misiba kipindi hiki cha coronavirus

IQup

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2018
Posts
1,166
Reaction score
1,808
Poleni na majukumu,

Nimepata mshtuko kidogo hapa mitaani, tumepata msiba mtaani kwetu ila watu hawahudhurii kabisa haloo, hivi serikali imetangaza utaratibu gani kwa watu kuhudhuria misiba ili kusiwepo na taharuki na wasi kuhusu kuambukizana magonjwa.

Nauliza serikali imetoa pendekezo lolote kuhusu namna ya watu wanavyoshauriwa kuhudhuria misiba na kuzika?
 
Huko hakuna faini kea wanaokwepa misiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…