K KIEMBE Senior Member Joined Aug 29, 2013 Posts 109 Reaction score 11 Sep 22, 2017 #1 Habari za majukumu wana Jamvi. Naomba niulize kwa mwenye kufahamu jinsi ya kuwasiliana na wakala anaetambulika na DSE yaani Dar es Salaam Stock exchange kwa jinsi ya namna ya kununua hisa. Asanteni!
Habari za majukumu wana Jamvi. Naomba niulize kwa mwenye kufahamu jinsi ya kuwasiliana na wakala anaetambulika na DSE yaani Dar es Salaam Stock exchange kwa jinsi ya namna ya kununua hisa. Asanteni!
mbere JF-Expert Member Joined Mar 5, 2015 Posts 6,967 Reaction score 6,465 Sep 22, 2017 #2 una sh ngapi nikuulizie?
KENNY JEEZY JF-Expert Member Joined Apr 19, 2015 Posts 271 Reaction score 275 Sep 22, 2017 #3 Tafuta Google mabroker wa hisa Tanzania
K KIEMBE Senior Member Joined Aug 29, 2013 Posts 109 Reaction score 11 Sep 22, 2017 Thread starter #4 mbere said: una sh ngapi nikuulizie? Click to expand... 1.3M mbere said: una sh ngapi nikuulizie? Click to expand...
mbere said: una sh ngapi nikuulizie? Click to expand... 1.3M mbere said: una sh ngapi nikuulizie? Click to expand...