Namna nilivyoweza kuacha POMBE, na kuamua starehe yangu iwe MSOSI

Kula kwa kiasi, kunywa kwa kiasi,

Ila wewe unaendekeza ulevi hadi kwenye kula, ona Sasa misosi yote hiyo unaenda kupigana mieleka au.

Anyway jiandae na,
Obesity
Bp
Diabetes
Kibamia

Kila la kheri
Ila umeboa kwanin utukimbie kweny kunywa pombe

puker
 
Safi Sana
 
Hivi vyakula vyote ulivyotaja hapa ni mtambo wa magonjwa, kwa kifupi jiandae kuwa mgonjwa mtarajiwa wa sukari na presha

 
Reactions: Cyb
Hebu ngoja kwanza nipo nakula spice ndizi hapa na mayonnaise
 
Kula kwa afya mdau kama ulivyoshauriwa na pia piga mazoezi ili kujiweka fit.
Mimi nagonga menyu hasa ila yote inaishia kwenye mbio nimeweza kumaintain uzito wangu kwa miaka mitatu sasa nacheza kwenye 72-76kg.
Kipindi cha nyuma wakati naishi kizembe na tungi kwa sana nilikuwa nacheza kwenye 88-90.
Kila la kheri mdau na hongera kwa kuachana na tungi.
 
Yan miez miwil unasema umeacha pombe sema umepumzika tu kuna siku unaingia kweny mtego tu
 
Unaandaa bomu litakalokugharimu maisha yako yote maana aina ya misosi unayokula ni hatari sana
 
Hongera sana mkuu, nikupongeze kwa kuacha pombe sio kitu rahisi, pili umeamua kula chakula ni vizuri sna kwa afya yako.

Ushauri wangu jaribu kupata muda wa kufanya mazoezi ni muhimu sana kwa afya yako.

Hongera sana mkuu
 
●Kula sana pombe {ulabu} angalau mara moja au mbili kwa wiki.
●Kula balanced diet lean protean,starch au wanga, vitamin, minerals na maji ya kutosha angalau glass nane kwa siku.
●Kula zoezi la kutosha.. mimi nakimbia 6km mara nne kwa wiki.


Umeacha pombe umejitafutia matatizo mengine umeongeza uzito mkubwa ndani ya muda mfupi.
 
Mkuu uzito wa mwili vipi hiyo ratiba ya chakula inahitaji mazoezi kama ya kuua nyangumi kwa upanga.
 
Ulevi una hasara nyingi kuliko faida boss
 
Sijasoma maelezo zaid ya kichwa cha habari...hongera sana kwa kuacha pombe ila mimi niko sehemu najipongeza kwa kuacha pombe kwa kunywa walau bia mbili kusheherekea wiki mbili za kutokugusa pombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…