muzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 1,041
- 1,457
Kwa wanaume wa nguvu, supu ya ngombe, kuku, mbuzi etc. ni muhimu sana kuboresha utendaji kazi mwilini na kujenga taifa kwa ujumla. Ufikifika kwenye hotel na migahawa hasa nyakati za asubuhi imekuwa ni desturi kukukutana na wadau wakijipatia supu za kila aina ikiambatana na pilipili, ndimu/limao, chumvi na chachandu za kila aina. Sasa tatizo linakuja baada ya kumaliza kunywa supu. Hapa ndo kuna shida kidogo. Kutokana na chumvi, chachandu na mwili kupanda joto, utasikia mdau ....mhudumu nipe maji ya baridi, soda ya baridi, bia baridi, juice ya baridi n.k.
Kimsingi haishauriwi kunywa kitu cha baridi baada ya kunywa supu hasa zenye mafuta baada ya kunywa. Hii ni kwasababau kuingiza kitu cha baridi mwilini mara baada ya kunywa supu huletea kutengenezeka kwa solidification ya fat mwilini. Hebu chukulia kwa picha rahisi, mfano unapochukua bakuli lenye supu ya moto changanya na maji ya baridi kutoka kwenye friji........nini kinatokea????? Hii pia ni sawa kinachotokea tumboni mwako. Hii huletea kazi nyingine tena ya ku-break hizo fats bonds into smaller digestibale particles for the second time. Hata hivyo solidified fats sio zote zinaweza kuvunjwa kwa awamu ya pili japokuwa temperature ya tumbo ni ya hali ya juu sana, zingine hubaki kuzunguka na mwishowe kuingia kwenye blood stream. After a longer period of time zinajikusanya na kuanza kutengeneza cholesterole kwenye mishipa ya damu na kwingineko. This will build up into a bigger problem as you grow up in the future
So guys usinywe kimiminika baridi baada ya kunywa supu the moment unapomaliza kunywa supu......stay for at least two to three hours then you may drink your fovourite cold drink.
STAY HEALTH!!!
TAKE CARE!!!!πππππππ
Kimsingi haishauriwi kunywa kitu cha baridi baada ya kunywa supu hasa zenye mafuta baada ya kunywa. Hii ni kwasababau kuingiza kitu cha baridi mwilini mara baada ya kunywa supu huletea kutengenezeka kwa solidification ya fat mwilini. Hebu chukulia kwa picha rahisi, mfano unapochukua bakuli lenye supu ya moto changanya na maji ya baridi kutoka kwenye friji........nini kinatokea????? Hii pia ni sawa kinachotokea tumboni mwako. Hii huletea kazi nyingine tena ya ku-break hizo fats bonds into smaller digestibale particles for the second time. Hata hivyo solidified fats sio zote zinaweza kuvunjwa kwa awamu ya pili japokuwa temperature ya tumbo ni ya hali ya juu sana, zingine hubaki kuzunguka na mwishowe kuingia kwenye blood stream. After a longer period of time zinajikusanya na kuanza kutengeneza cholesterole kwenye mishipa ya damu na kwingineko. This will build up into a bigger problem as you grow up in the future
So guys usinywe kimiminika baridi baada ya kunywa supu the moment unapomaliza kunywa supu......stay for at least two to three hours then you may drink your fovourite cold drink.
STAY HEALTH!!!
TAKE CARE!!!!πππππππ