DOKEZO Namna Wazazi wetu wanavyotapeliwa pesa na wasajili laini wasio waaminifu

DOKEZO Namna Wazazi wetu wanavyotapeliwa pesa na wasajili laini wasio waaminifu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Very poor

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
379
Reaction score
574
Habar Wana jamvi,

Wiki iliyopita nilipata wasaa wakutembelea kwetu Kijijini nikiwa kule Kijijini nilipata nafasi yakuzungumza na watu wa makundi mbalimbali, Wazee, Vijana ndugu na marafiki.

Stori iko hivi, kule Kijijini kuna wale Vijana wanaosajili laini za mitandao ya simu kama Vodacom, Airtel, Airtel hawa vijana baadhi yao wamekuwa siyo waaminifu kabsa kwani huwaibia wazazi wetu bila kujua kwa namna ya kuswap laini.

Iko hivi, wakipata mteja huwa wanashika simu yake na kumwambia kuwa kuna ofa huwa hazipati hivyo wanaomba kumwekea hiyo huduma ya ofa kumbe wao wakipata tu gap bas hukimbilia kuangalia salio la pesa iliyopo kwenye simu ya mteja kwa kumwambia weka namba ya siri ili tuupdate lain yako, baada yakuona salio limo.

Huwa wanachukua laini nyingine mpya ambayo haijasajiliwa nakumwambia mteja aweke kidole kwenye mashine yakusajilia laini ili wakamilishe ku-update laini akiwashaweka kumbe kitendo hicho wanafanya ni kuswap laini na baada ya kufanikiwa huhama location na kwenda Eneo jingne na pesa husika huitoa baada ya laini kwa mteja kuswapiwa huwa inakata mtandao na wao humwambia laini yako itakaa kwa Muda then mtandao utarudi na wao hupotea Eneo lile.

Njia ya pili wanayoifanya wakipata mteja huwa wanamuomba mteja awachukulie kitu fulani wakati anaenda kuchukua wao hubadili laini ya mteja yaani kwenye simu ya mteja wanaweka laini nyingne kabisa na laini ya mteja huweka kwenye simu zao na akirudi tu wanaanza Mchakato wakuingia kwenye menu ya Mpesa au ya halotel wakishafika kwenye kuweka namba huweka namba zao ambazo zitapokea pesa na yeye mteja wanampa simu yao ambayo ina lain yake nakumwambia weka PIN akishaweka PIN process nyingine huendelea hadi muamala kutoka Kwa laini ya mteja kwenda kwenye laini ambayo hutumia kutapelia.

Baada yakukamilisha SMS ya mteja hufutwa kwenye simu nakumuomba tena mteja afuate kitu then hurudisha lain ya mteja kwemye simu yake na wizi umekuwa umependeza hivyo, kwa hiii style ya pili ni ngumu sana kutambua kama umeibiwa mpka siku uje uangalie salio ndio utangundua.

👉👉👉👉sory sipo vizur Sana kwenye uandishi

Tuwe makini na wasajili laini wasio waaminifu ikiwezekana huduma tuzifanyie shop kuepuka hayo!
 
Mama nilishamwambia simu yako ukiona huielewi mpe mjukuu wako...ambaye ni mjomba wangu ni janja janja sana fasta tu hua anamsaidia. Pili achana na hizo pigo kuna ile una renew line yako unaambiwa kila mara mashine imegoma kumbe wanasajiri laini nyingine kwa kitambulisho chako ndo zileee zinazotumika na wazee wa tuma kwa no hii tuwe makini sana na watu wengi hatujui tu chombo chako cha mawasiliano si cha kumpa mtu ovyo ama kusajiri kwa wapita njia.
 
Mama nilishamwambia simu yako ukiona huielewi mpe mjukuu wako...ambaye ni mjomba wangu ni janja janja sana fasta tu hua anamsaidia.Pili achana na hizo pigo kuna ile una renew line yako unaambiwa kila mara mashine imegoma kumbe wanasajiri laini nyingine kwa kitambulisho chako ndo zileee zinazotumika na wazee wa tuma kwa no hii tuwe makini sana na watu wengi hatujui tu chombo chako cha mawasiliano si cha kumpa mtu ovyo ama kusajiri kwa wapita njia.
Safi kabsaaa reply nzur
 
Habar Wana jamvi,

Wiki iliyopita nilipata wasaa wakutembelea kwetu Kijijini nikiwa kule Kijijini nilipata nafasi yakuzungumza na watu wa makundi mbalimbali, Wazee, Vijana ndugu na marafiki.

Stori iko hivi, kule Kijijini kuna wale Vijana wanaosajili laini za mitandao ya simu kama Vodacom, Airtel, Airtel hawa vijana baadhi yao wamekuwa siyo waaminifu kabsa kwani huwaibia wazazi wetu bila kujua kwa namna ya kuswap laini.

Iko hivi, wakipata mteja huwa wanashika simu yake na kumwambia kuwa kuna ofa huwa hazipati hivyo wanaomba kumwekea hiyo huduma ya ofa kumbe wao wakipata tu gap bas hukimbilia kuangalia salio la pesa iliyopo kwenye simu ya mteja kwa kumwambia weka namba ya siri ili tuupdate lain yako, baada yakuona salio limo.

Huwa wanachukua laini nyingine mpya ambayo haijasajiliwa nakumwambia mteja aweke kidole kwenye mashine yakusajilia laini ili wakamilishe ku-update laini akiwashaweka kumbe kitendo hicho wanafanya ni kuswap laini na baada ya kufanikiwa huhama location na kwenda Eneo jingne na pesa husika huitoa baada ya laini kwa mteja kuswapiwa huwa inakata mtandao na wao humwambia laini yako itakaa kwa Muda then mtandao utarudi na wao hupotea Eneo lile.

Njia ya pili wanayoifanya wakipata mteja huwa wanamuomba mteja awachukulie kitu fulani wakati anaenda kuchukua wao hubadili laini ya mteja yaani kwenye simu ya mteja wanaweka laini nyingne kabisa na laini ya mteja huweka kwenye simu zao na akirudi tu wanaanza Mchakato wakuingia kwenye menu ya Mpesa au ya halotel wakishafika kwenye kuweka namba huweka namba zao ambazo zitapokea pesa na yeye mteja wanampa simu yao ambayo ina lain yake nakumwambia weka PIN akishaweka PIN process nyingine huendelea hadi muamala kutoka Kwa laini ya mteja kwenda kwenye laini ambayo hutumia kutapelia.

Baada yakukamilisha SMS ya mteja hufutwa kwenye simu nakumuomba tena mteja afuate kitu then hurudisha lain ya mteja kwemye simu yake na wizi umekuwa umependeza hivyo, kwa hiii style ya pili ni ngumu sana kutambua kama umeibiwa mpka siku uje uangalie salio ndio utangundua.

👉👉👉👉sory sipo vizur Sana kwenye uandishi

Tuwe makini na wasajili laini wasio waaminifu ikiwezekana huduma tuzifanyie shop kuepuka hayo!

Tatizo mnapenda vya bure. Ukiambiwa kusajili laini ni elf 1 wewe unataka wale wanaosajili bure na vocha wanakuwekea bure. Tena unasema laini si unapewa na kampuni na vocha ni ofa ya laini mpya. Serious?

Ukishapigwa unasema mawakala wezi, ila husemi ulitaka vya bure na ulienda kwenye vibanda na mashop ya mitandao wakakwambia ni hela ukakimbia wale wa mtaani. Hiyo husemi.

Vya bure vinaua, vina madhara, ndio hayo sasa. Kwahyo babu yako amependa vya, bure vya ofa
 
Back
Top Bottom