Kwema wakubwa,
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali. Nina wazo naona ni potential ambalo litasaidia watu wa hali ya chini vijijini nataka nikasajili Ngo kwa level ya kitaifa then nitekeleze wazo langu lakini changamoto ya hili wazo linahitaji rasimali fedha ili litekeleze, je ni wapi naweza pata mfadhili ? Je kuna utaratibu wowote serikalini wa ku fund project zenye tija kwa jamii?
Je ni kwa jinsi gani naweza kupata donors kwenye international Ngo’s vipi makampuni binafsi ya kitanzania yanawezesha ku fund project binafsi zenye lengo la kusaidia jamii ? Taratibu ni zipi na vigezo ni vipi vya kupata donors ? Asante sana.
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali. Nina wazo naona ni potential ambalo litasaidia watu wa hali ya chini vijijini nataka nikasajili Ngo kwa level ya kitaifa then nitekeleze wazo langu lakini changamoto ya hili wazo linahitaji rasimali fedha ili litekeleze, je ni wapi naweza pata mfadhili ? Je kuna utaratibu wowote serikalini wa ku fund project zenye tija kwa jamii?
Je ni kwa jinsi gani naweza kupata donors kwenye international Ngo’s vipi makampuni binafsi ya kitanzania yanawezesha ku fund project binafsi zenye lengo la kusaidia jamii ? Taratibu ni zipi na vigezo ni vipi vya kupata donors ? Asante sana.