Namna ya kuandaa Ice Cream za kawaida

Namna ya kuandaa Ice Cream za kawaida

Derick Luhaga

Member
Joined
Feb 18, 2017
Posts
22
Reaction score
10
Ndugu wana JF, kuna mtu aliwahi kuniuliza kuwa hv icecream za kawaida tofauti na zile kama za azam nk , alimaanisha zile local mfano za ubuyu nk, huwa zinaandaliwaje? Nilimjibu ninavyojua mm bt huwenda ninyi nanyi mnajua zaidi, naomba tugawane ujuzi....thanks, Nawakilisha
 
wanasema unachanganya unga wa ubuyu na uji wa ngano sasa vipimo vyake sijui ngoja waje watalaam
 
Huu uzi unafaa uende jukwaa LA mapishi
 
Back
Top Bottom