Nina wazo la kuingia katika biashara ya kusaidia wajasiriamali " Jinsi ya kuendeleza wazo la kibiashara kuwa biashara inayolipa"
Nina lenga kuwafikia wenye mitaji midogo midogo na ambao wanataka kuanza kwa kiwango kidogo.
Je wadau, kuna mawazo yeyote kama watu wanahitaji huduma hii ya biashara?
Asanteni kwa mawazo yetu.
Another DECI (?)
Huduma hii inahitajika sana, mimi ni mmoja wa wanaohitaji, lakini unapoanzisha usifanye uhuni kama wa watu wengine ambao wanakuja kuiba mawazo yetu wao wanawaomba watu watume michanganuo , watu wengi wanatuma kisha wanamchagua mmoja na kumpa zawadi huku wakibaki na michanganuo ya watu wengine huo ni uwezi.
anzisha jitangaze tutakuja utusaidie