Namna ya kuanzisha na kufanya biashara ya nafaka

Namna ya kuanzisha na kufanya biashara ya nafaka

Balozi limited

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2022
Posts
989
Reaction score
2,565
Ndugu zanguni naomba kueleweshwa na kupata uzoefu wa namna ya kuifanikisha biashara ya kuuza nafaka kwenye frem, mfano Michele, unga, marage, dengu nk.

Naomba kuelewa

1. Risks zake
2. Faida yake
3. Mtaji wake
3. Mahali pazuri kokote tz
4. Masoko na mauzo jumla na rejareja

That is all about NAFAKA ANY THING I NEED TO KNOW.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Achana na mambo ya risk hayana faida, mimi nitajitolea kukuuzia mchele na maharage na kukuletea hadi ulipo
 
Back
Top Bottom