Ndugu zanguni naomba kueleweshwa na kupata uzoefu wa namna ya kuifanikisha biashara ya kuuza nafaka kwenye frem, mfano Michele, unga, marage, dengu nk.
Naomba kuelewa
1. Risks zake
2. Faida yake
3. Mtaji wake
3. Mahali pazuri kokote tz
4. Masoko na mauzo jumla na rejareja
That is all about NAFAKA ANY THING I NEED TO KNOW.