Namna ya kudhibiti kisukari

Namna ya kudhibiti kisukari

LIFE HELP

Senior Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
149
Reaction score
71
KISUKARI NAMNA YA KU-CONTROL SUGAR

Hutokea mara moja moja kuamka sukari iko juu(8-10) nina 55yrs

Aidha kwa sbb zisizoeleweka(Malaria) au kubadilika muda wa kula au chakula hasa matunda/juice au hata kiwango cha chakula .

Hii hutokana na mazingira ya kazi yangu(safari n.k),

Dawa natumia Amarly M2 au Gema 2 asubuhi baada ya breakfast na usk baada Dinner.

Swali langu : je ukijikuta asb mfano sugar iko 9 na unasikia njaa na unahisi mwili uko weak unahitaji kula vizur na ushibe vzr, ni nini cha kufanya ?

1. Kuongeza dawa ? yaani badala x2 unywe x3 ?

2. Kuongeza dawa ? yaani badala 1 tab unywe kidonge 1na nusu x2 tu ?

Tafadhali naombeni USHAURI WENU Dr's na hata wagonjwa wenzangu.
 
Back
Top Bottom