KISUKARI NAMNA YA KU-CONTROL SUGAR
Hutokea mara moja moja kuamka sukari iko juu(8-10) nina 55yrs
Aidha kwa sbb zisizoeleweka(Malaria) au kubadilika muda wa kula au chakula hasa matunda/juice au hata kiwango cha chakula .
Hii hutokana na mazingira ya kazi yangu(safari n.k),
Dawa natumia Amarly M2 au Gema 2 asubuhi baada ya breakfast na usk baada Dinner.
Swali langu : je ukijikuta asb mfano sugar iko 9 na unasikia njaa na unahisi mwili uko weak unahitaji kula vizur na ushibe vzr, ni nini cha kufanya ?
1. Kuongeza dawa ? yaani badala x2 unywe x3 ?
2. Kuongeza dawa ? yaani badala 1 tab unywe kidonge 1na nusu x2 tu ?
Tafadhali naombeni USHAURI WENU Dr's na hata wagonjwa wenzangu.
Hutokea mara moja moja kuamka sukari iko juu(8-10) nina 55yrs
Aidha kwa sbb zisizoeleweka(Malaria) au kubadilika muda wa kula au chakula hasa matunda/juice au hata kiwango cha chakula .
Hii hutokana na mazingira ya kazi yangu(safari n.k),
Dawa natumia Amarly M2 au Gema 2 asubuhi baada ya breakfast na usk baada Dinner.
Swali langu : je ukijikuta asb mfano sugar iko 9 na unasikia njaa na unahisi mwili uko weak unahitaji kula vizur na ushibe vzr, ni nini cha kufanya ?
1. Kuongeza dawa ? yaani badala x2 unywe x3 ?
2. Kuongeza dawa ? yaani badala 1 tab unywe kidonge 1na nusu x2 tu ?
Tafadhali naombeni USHAURI WENU Dr's na hata wagonjwa wenzangu.