JOSE KASANO
Senior Member
- Apr 23, 2013
- 122
- 95
Wapo baadhi ya maofisa halmashauri mbalimbali hapa nchini ambao huendekeza rushwa za ngono katika kutoa huduma kwa walimu na watumishi wengine wa kike wanoanza kazi kwa mara ya kwanza au kwa wazoefu pale wanapofanya mchakato wa kuomba uhamisho.
Ewe mwalimu mpya wa kike kamwe usidhubutu kumvulia nguo yako fupi kuliko zote OFISA eti akupangie shule sijui nzuri, yenye umeme, maji, nyumba n.k. Ukiona ni bora kuambukizwa VVU ili upate umeme, maji,nyumba HILO NI TATIZO LAKO!
OFISA yeyote ambaye atakusumbua kwa kukuomba RUSHWA ya ngono usioneshe dalili za kumkatalia, wewe mkatalie kimoyomoyo tu.
-Katika dhamira yako amini na amua kuwa shule yoyote ile utakayopangiwa utafanya kazi cha msingi wawepo wanafunzi, walimu, wazazi, madarasa na jamii kwa ujumla inayozunguka eneo hilo.
- Kamwe usifanye michakato ya kwenda kwa maofisa kubembeleza kupangwa shule fulani.Lakini kama una tabia hiyo nayo mbaya.Kama na mikoa ulienda na mzazi au ndugu kuhonga basi wewe utakuwa hushauriki.
OFISA WA KUKUTAKA NGONO WEWE MWALIMU WA KIKE, FANYA YAFUATAYO:
> mkubalie.
>Mwambie mtafute eneo la kufanya hiyo shughuli OVU.
> Toa taarifa haraka kwa TAKUKURU na WAANDISHI WA HABARI maana wapo kila eneo.
> Muda ukifika nenda kwenye tukio.
> Ofisa akifika usiwe mwepesi wa kuvua nguo yako fupi, jaradia kisawasawa ili asiweze kukukamata na kukuvua kwa nguvu.
> Mtegeshee kwa kumfanyia surprise kama kumvua nguo akidhani anaenda kupata tunda kumbe pingu.
> Jamaa wakifika fungua mlango.
> ATAJUTIA KWA NINI ALIZALIWA TANZANIA NA SIYO DARFUL.
Samahani msinione mnonko ila tabia hiyo inanikera sana tena sana na nimeongelea walimu wa kike kwa sababu ndio wahanga wa tatizo hili dhidi ya MIFATAKI maofisini.Ofisa wa kike kuomba rushwa ya ngono kwa mwalimu wa kiume ni ngumu sana na niseme maofia wa kile wenye tabia hiyo basi katika 100,000,0000,000,000 ni mmoja tu
Ewe mwalimu mpya wa kike kamwe usidhubutu kumvulia nguo yako fupi kuliko zote OFISA eti akupangie shule sijui nzuri, yenye umeme, maji, nyumba n.k. Ukiona ni bora kuambukizwa VVU ili upate umeme, maji,nyumba HILO NI TATIZO LAKO!
OFISA yeyote ambaye atakusumbua kwa kukuomba RUSHWA ya ngono usioneshe dalili za kumkatalia, wewe mkatalie kimoyomoyo tu.
-Katika dhamira yako amini na amua kuwa shule yoyote ile utakayopangiwa utafanya kazi cha msingi wawepo wanafunzi, walimu, wazazi, madarasa na jamii kwa ujumla inayozunguka eneo hilo.
- Kamwe usifanye michakato ya kwenda kwa maofisa kubembeleza kupangwa shule fulani.Lakini kama una tabia hiyo nayo mbaya.Kama na mikoa ulienda na mzazi au ndugu kuhonga basi wewe utakuwa hushauriki.
OFISA WA KUKUTAKA NGONO WEWE MWALIMU WA KIKE, FANYA YAFUATAYO:
> mkubalie.
>Mwambie mtafute eneo la kufanya hiyo shughuli OVU.
> Toa taarifa haraka kwa TAKUKURU na WAANDISHI WA HABARI maana wapo kila eneo.
> Muda ukifika nenda kwenye tukio.
> Ofisa akifika usiwe mwepesi wa kuvua nguo yako fupi, jaradia kisawasawa ili asiweze kukukamata na kukuvua kwa nguvu.
> Mtegeshee kwa kumfanyia surprise kama kumvua nguo akidhani anaenda kupata tunda kumbe pingu.
> Jamaa wakifika fungua mlango.
> ATAJUTIA KWA NINI ALIZALIWA TANZANIA NA SIYO DARFUL.
Samahani msinione mnonko ila tabia hiyo inanikera sana tena sana na nimeongelea walimu wa kike kwa sababu ndio wahanga wa tatizo hili dhidi ya MIFATAKI maofisini.Ofisa wa kike kuomba rushwa ya ngono kwa mwalimu wa kiume ni ngumu sana na niseme maofia wa kile wenye tabia hiyo basi katika 100,000,0000,000,000 ni mmoja tu