Oppotunity
Member
- Sep 9, 2013
- 38
- 12
Wana Jf Habari Zenu.
Mara nyingi nimekuwa nikiagiza bidhaa mbali mbali kutoka nje ya tanzania ila kero kubwa imekuwa ni makato makubwa yanayotozwa pale bandarini bila kuzingatia viwango halisi vya ushuru wa bidhaa yenyewe.
Licha ya hapo kuna usumbufu mkubwa sana tangu bidhaa inapowasili hadi pale unapoichukua baada ya kulipia kila kitu. ninataka niachane nao nitumie bandari ya mombasa kenya kwani wao naamini hawaendekezi ukiritimba kama huu wa hapa bongo. NAOMBA MWENYE UZOEFU AU KUJUA TARATIBU NA GHARAMA ZA HAWA JAMAA PAMOJA NA KUSAFIRSHA MZIGO HADI HAPA BONGO ANIJUZE TAFADHALI MAANA MIMI SIJAWAHI HATA KUFIKA HUKO.
Natanguliza Shukrani Za Dhati!!!
Mara nyingi nimekuwa nikiagiza bidhaa mbali mbali kutoka nje ya tanzania ila kero kubwa imekuwa ni makato makubwa yanayotozwa pale bandarini bila kuzingatia viwango halisi vya ushuru wa bidhaa yenyewe.
Licha ya hapo kuna usumbufu mkubwa sana tangu bidhaa inapowasili hadi pale unapoichukua baada ya kulipia kila kitu. ninataka niachane nao nitumie bandari ya mombasa kenya kwani wao naamini hawaendekezi ukiritimba kama huu wa hapa bongo. NAOMBA MWENYE UZOEFU AU KUJUA TARATIBU NA GHARAMA ZA HAWA JAMAA PAMOJA NA KUSAFIRSHA MZIGO HADI HAPA BONGO ANIJUZE TAFADHALI MAANA MIMI SIJAWAHI HATA KUFIKA HUKO.
Natanguliza Shukrani Za Dhati!!!