Namna ya kufanya manunuzi Mtandani kwa kutumia Visa Card au Master Card

Erick Richard R-Madrid

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
399
Reaction score
282
Wenye uzoefu wa namna ya kufanya manunuzi ONLINE (Mtandaoni) naomba tuelekezane hapa. Tujulishane hatua unazotakiwa kuzifanya mwanzo mpaka mwisho kwa kutumia Card hizo.


Pia tujulishane utofauti uliopo kati ya Visa Card na Master Card, na ipi ni bora katika kufanya manunuzi bila usumbufu.


Shukurani wakuu
 
Nilipata kusikia kuwa mpaka uende Benki husika waiidhinishe kadi yako... Kwa ujuzi mwingine ngoja wajuzi waje
 
Card zote zina fanya manunuzi bila matatizo mimi natumia UBA visa card kufanya malipo nikiwa naagiza mzigo nje bila shida yoyote,cha kufanya ni ww uwe na fedha ya kutosha kwenye card yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…