Namna ya kufika Nairobi kwa kipindi hiki cha corona

Namna ya kufika Nairobi kwa kipindi hiki cha corona

kimpe

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2012
Posts
911
Reaction score
862
Habari wakuu naomba kuuliza kama kuna namna yeyote ya kufika Nairobi katika kipindi hiki cha corona na mipaka kufungwa.

Natanguliza shukurani.
 
Habari wakuu naomba kuuliza kama kuna namna yeyote ya kufika Nairobi katika kipindi hiki cha corona na mipaka kufungwa.

Natanguliza shukurani.
Namna za kwenda zipo nyingi na zinategemea na Nini unaenda kufanya huko Nairobi. Kuna njia za wanaoenda kununua mirungi ni tofauti na yule anayeenda kusalimia ndugu yake.

Eleza unataka kwenda kufanya Nini utaaambiwa njia gani utumie.
 
Panda gari vuka Namanga unatoboa Nai. magari yanaenda wanazinguliwa madereva wa malori
 
Tukisema hapa huoni vyombo vya ulinzi vitachukua hatua na kuwaharibia wengine

Hebu kuwa na akili timamu saa zingine basi
 
Huyu mkuu hapa anaweza kukupa a,b, c MK254

Pima corona, kisha piga karantini siku 14, ningempa mchongo ila nikiwaza anatokea huko ambapo corona ipo hadi kwa mapaipai, moyo wangu unanisuta maana nitakua nakaribisha balaa kwetu.
Sema kuna watu wanaingia na kutoka, mapolisi yetu hapa huwa mafisadi kupita maelezo.
 
Pima corona, kisha piga karantini siku 14, ningempa mchongo ila nikiwaza anatokea huko ambapo corona ipo hadi kwa mapaipai, moyo wangu unanisuta maana nitakua nakaribisha balaa kwetu.
Sema kuna watu wanaingia na kutoka, mapolisi yetu hapa huwa mafisadi kupita maelezo.
Polisi wetu sio mapolisi yetu ,anyway huku tuna wagonjwa 60 huko kuna wagonjwa wangapi vile ukijumlisha na wale wa ikulu
 
Pima corona, kisha piga karantini siku 14, ningempa mchongo ila nikiwaza anatokea huko ambapo corona ipo hadi kwa mapaipai, moyo wangu unanisuta maana nitakua nakaribisha balaa kwetu.
Sema kuna watu wanaingia na kutoka, mapolisi yetu hapa huwa mafisadi kupita maelezo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Usihangaike mkuu tulia hali bado sio shwari hiyo nauli uta poteza bure, matatu za kwenda Nairobi via Namanga hazifanyi kazi mwezi watatu huu kwenda wanne

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasisitiza huu ujumbe hazifanyi kazi ni mwezi wa tatu huu, kama wew ni mtu mwema ( innocent ) usijabu ila kam ni mtukutu ( thug) unaweza kuingia kupitia njia ambazo sio halali mim niko hapa toka mwezi wapili nimesindwa hata kwenda kuona familia.
 
Polisi wetu sio mapolisi yetu ,anyway huku tuna wagonjwa 60 huko kuna wagonjwa wangapi vile ukijumlisha na wale wa ikulu

Hili sio darasa la kiswahili, nimetumia lugha ya mtaani, kama vile tunasema mavitu badala ya vitu.
 
Back
Top Bottom