Wanajamvi,
Kwa yeyote anaefahamu namna ya kuweza kufuga afro, yenye nywele nyeusi, zilizonyooka na kusimama anisaidie please, mimi zangu huwa nikichana zinalala wakati mimi napenda zisimame na kuwa black.
Anaefahamu mafuta mazuri yanayofaa tuelekezane.
Kwa yeyote anaefahamu namna ya kuweza kufuga afro, yenye nywele nyeusi, zilizonyooka na kusimama anisaidie please, mimi zangu huwa nikichana zinalala wakati mimi napenda zisimame na kuwa black.
Anaefahamu mafuta mazuri yanayofaa tuelekezane.