Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
JF ndio kisima cha majibu, ndio Tanzania, ndio dunia. Hapajawahi kuniangusha humu.
Naomba mwaka huu wadau wenye masihara wafanye kubadilika. Kipindi cha kazi na umakini.
Niulize hivi ukiuziwa gari ukaja kugundua nyaraka zake si halali na liliingizwa nchini kimakosa kama yale ya namba pacha.
TRA wanatoa mwanya gani ulihalalishe. Habari ya kumpata muuzaji fanya hakuna namna tena.
Naomba mwaka huu wadau wenye masihara wafanye kubadilika. Kipindi cha kazi na umakini.
Niulize hivi ukiuziwa gari ukaja kugundua nyaraka zake si halali na liliingizwa nchini kimakosa kama yale ya namba pacha.
TRA wanatoa mwanya gani ulihalalishe. Habari ya kumpata muuzaji fanya hakuna namna tena.