Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Maji ya vuguvugu ya nini mkuu?MAHITAJI
1.Mayai matatu makubwa
2.Maji ya uvuguvugu vijiko viwili vya chakula
3.Pilipili manga nyeupe ya unga kidogo
4.Chumvi kidogo
5.Siagi
6.Mafuta ya kupikia
MAPISHI
1. Pasua mayai tia katika bakuli, tia humo chumvi,manga, na maji ya uvuguvugu
2. Katika moto wa wastani weka kikaango jikoni, tia humo siagi na mafuta ya kupikia kiasi, acha yachemke kiasi
3. Mwagia rojo la yai humo tandaza vizuri
4. Yai likishaiva upande wa chini, pindua upande mwingine ivisha kisha toa yai kutoka kwenye kikaango
5. Acha yai lipoe
Andaa mikate na chai ya maziwa na yai kisha jenga mwili
View attachment 2413903
Ili yaumukee!Maji ya uvuguvugu yanasaidia nini?
Haya ndio nataka nikaangize hapa ngoja nitumie hiyo formula yako nitakupa mrejeshoili yaumukee!
safiiHaya ndio nataka nikaangize hapa ngoja nitumie hiyo formula yako nitakupa mrejesho
Bado tu? Tuone na kqpichaHaya ndio nataka nikaangize hapa ngoja nitumie hiyo formula yako nitakupa mrejesho
Shangaa tuoneDuh kumbe yai linaekwa na maji pia,
Tisha sana mkuu! EnjoyMambo hayoooo
View attachment 2414137
Ahsanteee,Tisha sana mkuu! Enjoy
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1317]Ahsanteee,
Ashukuriwe na mtoa mada ya kukaanga Yai kitaalam [emoji851]
Naweza kuweka maziwa badala ya maji?ili yaumukee!
Na kuna sisi wapenda wine tunaweza weka hata vijiko mbili?Naweza kuweka maziwa badala ya maji?
SafiiiAhsanteee,
Ashukuriwe na mtoa mada ya kukaanga Yai kitaalam [emoji851]
[emoji1787] sasa mwaharibu doohNa kuna sisi wapenda wine tunaweza weka hata vijiko mbili?
Ha haaa wanasema mapishi ni ubunifu hebu jaribu utuletee mrejeshoNa kuna sisi wapenda wine tunaweza weka hata vijiko mbili?