Ndugu zangu naomba msaada wenu,ninataka kuanza safari ya ufugaji wa mbuzi wa kienyeji hawa kama dodoma white,Singida white na Isiolo.
Nataka kufugia wilaya ya kilolo na sasa nataka wajuzi mnisaidie namna ya ujenzi wa banda ili kukabiliana na baridi kwa mifugo yangu.
Asante.
Nataka kufugia wilaya ya kilolo na sasa nataka wajuzi mnisaidie namna ya ujenzi wa banda ili kukabiliana na baridi kwa mifugo yangu.
Asante.