Namna ya kukabiliana na kikohozi kwa siku moja tu

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532



Vitunguu vinapendekezwa kwa hali ya upumuaji,ikiwa ni pamoja na kikohozi na homa. Endapo vikitumika vikiwa vibichi, ina aminika kuwa nzuri zaidi. Vina flavanoids na compaund za sulfur, ambavyo vinafanya Kitunguu kuwa na manufaa kwa moyo, viwango vya cholesterol, kisukari,arthris, na kwa ujumla kama antioxidant.

Viungo.
1. Paundi moja ya vitunguu
2. Lita 3 za maji

Njia za kufuata:
Ondoa ngozi yote ya juu ya vitunguu,na kila kimoja kata vipande vinne,kisha weka vitunguu vyako kwenye sufuria yenye maji, na anza kuvichemsha. Chemsha maji kwa mda wa nusu saa, na kisha viache vipoe.

Kunywa kikombe kimoja na nusu mara mbili kwa siku, ukipenda unaweza ukachanganya na asali na limao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…