Namna ya kula zigo bila kutongoza

Mwanamke akishaingia geto c wa kumuacha atakudharau
 
Mwanamke akishaingia geto c wa kumuacha atakudharau
Hiyo ni ulimwenguni kote hata ambae ushamla akija tena ukiacha bado atakushangaaa, sio kama kuliwa kwao kubaya ila wanahisia pia wakifanya wazi mijitu haichelewi kuwaita malaya
 
tehe tehe tehe tehe tehe sijui wasichana gani hao unaowapata kihivyo
 
Unawala ni wale level za michangani. Haa unazungumzia enzi za u underground
 
Hama kwanza nyumbani ili uile vzr badala ya kutegea watu wakiwa hawapo
 
Mkuu usikariri umri wangu huo mwaka niloandika kwenye acount una uhakika ni kweli??acha kukariri wewe!!
Unajidanganya mwenyewe!! Hiyo ni sawa sawa na kujitekenya na kucheka mwenyewe ukidhan umefurahishwaa, si ajabu na hii story ni ya uongo kama huo mwaka wako wa kuzaliwa
 
Hao nao wanaokubal kuliwa kwa style hyo hawajielew wako cheap mim unanianzaje kwamfano
 
Me cna formula unaliwa kulingana na IQ yako kma huna ni mwepesi na kwambia tu tangulia room nakuja simple and clear
 
hehehehee daaah watu na trick zao bana.sema albumya picha tekniki ya zamani sana
 
Duh kijana wa miaka 24 anaona sifa kuandika mambo kama haya mbele ya jamii,sijui tunaelekea wapi nahisi tumeshapotea njia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…