Namna ya kula zigo bila kutongoza

Hiyo ni ulimwenguni kote hata ambae ushamla akija tena ukiacha bado atakushangaaa, sio kama kuliwa kwao kubaya ila wanahisia pia wakifanya wazi mijitu haichelewi kuwaita malaya
Kwel kwel
 
Siku ukipanga nyumba ya chumba na sebule ndo hautakulaga tena kwa style yako hiyo ya kitoto
 
Hapo hapo kwenye kugonganisha embu tupe story ulikuwaje?
 
Duh kijana wa miaka 24 anaona sifa kuandika mambo kama haya mbele ya jamii,sijui tunaelekea wapi nahisi tumeshapotea njia
Hahaha....wakati mwenzake Mack zuckerber akiwa na umri huo tayari anamilkki mtandao wa Facebook na anapiga mawe hatari
 
hahahahah nkimaliza chuo sirudi nyumbn, natafuta geto mapemaaa, mana huku ni kunyimana haki za msingi kwa mwanaume! kabla hata ya godoro ni sabufa, katv kadogo, dek na cd moja hv ya utamu naikumbuka.
 
Hapo hapo kwenye kugonganisha embu tupe story ulikuwaje?
mkuu, unapenda ubuyu wewe dah! ok, ilikuwa hivi;
hiyo siku alikuja demu mpya nikamgegeda kama kawa baada ya kumtizamisha xx akalegea, sasa tumemaliza tumepumzika demu mwingine alikuwa akiitwa joyce akatuma msg eti "baby ninakuja mara moja unitibu,hamu imekuja ghafla,mama hayupo kaenda kwenye kikao shuleni kwa kevi". kevi ni mdogo wake yuko primary.
sasa mkuu hapo kilicho fuata mimi msg sikuiona maana nikiwa na demu simu huwa naweka silent.
sina habari, naskia mlango unasukumwa ndani, kucheki ni yeye duuuuuhhhh! nikaona kiama kimefika, maana alimuangalia yule demu aliemkuta halafu ghafla akaondoka amevimba.
sasa yule nlie nae getto akanipa kofi moja la shavu japo halikuuma sana, sikumrudishia. nikabana mlango ili asiondoke. hilo nikafanikiwa, basi kazi ikawa ipo kumrudisha awe normal baada ya kujua yule alekuja nae ni demu wangu.
ila wanawakee akili zero muda mwingine, akakubali aisee. nilimsaundisha kama muda wa saa 1 na nusu hivi.
 
YAKOBO 4:4 " Enyi wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu"

uzinzi si jambo la kujisifia wala kulifurahia.
 
Mkuu hongera sana, unakula MIDEGE ISIYOLIWA!!! [emoji12][emoji12][emoji12][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my D2403 using JamiiForums mobile app
Siku hizi hakuna mwanamke mwenye msimamo hata awe kaolewa na nani!
Nakumbuka nami nshawatafuna wengi kwa style hiyo hiyo!
Tena kipindi cha mvua ndo huwaga patamu!
Kuna mmoja alipita kujikinga nvua eti anatoka sokoni na mizigo yake nkamuibukia pale kibalazani nkamuomba aingie ndani kwani mvua inanyesha na radi zinapiga!
Alisita kidogo badae akaja mwenyewe ameloa kidogo na mvua nkamwambia avue nguo tuzianike kidogo kisha ajifunge kitenge cha demu wangu akakubari kwa shingo upande kisha nkamwambia aingie chumbani mi nkabaki sebureni kisha baada ya dk chache akatoka chumban akiwa kajifunga kitenge na kuanza kuanika nguo zake sebureni.
Japo alionekana ana aibu sana nlimuuliza anaishi na nani akasema kaolewa na askari polisi mmoja hivi mtaa wa tatu toka tunapoishi na ni miezi minne tu tangu waoane!
Kwa jinsi mtoto alivyonona na ukizingatia ndani tulikuwa wawili tu huku mvua ikizidi kunyesha!
Sikuomba gemu ila nilimshika mkono na kumwambia twende chumbani hapa sebureni kuna baridi mno!
Tulipofika chumbani nlimchezea kidogo akaloa nikala tunda!...we mtoto alikuwa mtamu niligonga vitatu vya akili demu alichoka akapitiwa usingizi mpaka nlipomwamsha saa 9 mchana mvua ilipokwisha ndo akaondoka!
 
nampa album halafu natafuta excuse ya kugusana gusana mikono ,mabega hlf huku nimedindisha pipe htr na mawazo yangu kichwa nakua nawaza ngono tu basi nakua km namuambukiza hisia zangu vile hlf napiga story kwa sauti kubwa dk5 hlf dk 5 nashusha sauti inakua yakubembeleza bas hapo lzm ni muambukize hisia za dyudyu mda si mrefu....mtoto anawakaaa bas ndo inakua fiestaaaa mwaka 2016 ...........
 
Yaani nipo Ushirombo nitake kwenda Shinyanga halafu nipitie Mwanza ndo nije Shinyanga ya kazi gani Wakati ukichanizia kahama Unafika muda sio mrefu,
Mimi nawaambiaga unachotaka nitakupa hata PESA hahahaha kwishney mambo yanakuwa mambo lazima NIMGEGEDE tu tena Live bila CHENGA!.
 
Hahahaha nimemkumbuka Jamaa angu Mmoja kigamboni'alpokuwa anategemea mwanamke anakuja gheto kwake basi yeye hutoa viti chumbani atabakisha kitanda tu ili demu akija alazimike Kukaa kitandani[emoji23] [emoji23]
 
Mkuu wewe siku ya mwisho kule Mbinguni hutasomewa hata hukumu utapelekwa upande wa kushoto moja kwa moja
 
Hao mademu Wa mtaa gani Maana Huku kwetu mtu alivyorudi alipigwa hela TV na radio ndani ya Dakika 15 tu
 
Hahahahahahahahahahahaaaaaaaaah iseee hyo ni shida mno muombe radhi mdau iseee,, Mindege isiyoliwa???? hatari kwelikweli
Haa haaa! Haaaa!! Ukweli wanaong'oleka kirahisi kihivyo ni wale ambao huku kwetu tunawaita 'nguru_bange'[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]... Wa hovyo hovyo![emoji53]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…