Dumishamila
Member
- Nov 5, 2018
- 40
- 30
Asante mkuu, naungojea kwa hamu ushauri wako,Leo sina muda ila nikitulia nitakushauri vizuri mkuu usijali
Shukrani.Mie nina uelewa kidogo unaweza ukanipa ajira. Vitu muhimu. Ni kuandaa chumba.rada za mbao. Magazeti. Masinia makubwa ya kuwekea chakula.madawa. majiko makubwa ya mkaa ili vifaranga vipate joto la kutosha. Driker za maji. Kuna mbao za kuwekea driker.
ShukraniMie nina uelewa kidogo unaweza ukanipa ajira. Vitu muhimu. Ni kuandaa chumba.rada za mbao. Magazeti. Masinia makubwa ya kuwekea chakula.madawa. majiko makubwa ya mkaa ili vifaranga vipate joto la kutosha. Driker za maji. Kuna mbao za kuwekea driker.