Namna ya kumudu kuongea English fasaha

Namna ya kumudu kuongea English fasaha

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Humu JF kuna wataalamu wengi sana wanaojua vizuri English japo kuwa hawajaishi nchi zinazoongea English kama lugha ya taifa hivyo tunaweza peana mbinu za kumudu hii lugha.

Mimi Kwa uzoefu wangu naamini kusoma sana vitabu mbali mbali vya kingereza itasaidia sana kuongeza vocabularies katika English na itasaidia sana kunyoosha sentensi maana nyingi zitakuwa ni marudio ya vitabu ulivyosoma.Pia kujaribu kuangalia sana movies hasa series inaweza saidia kusikiliza matamshi ya maneno mbalimbali.


Karibuni Kwa michango yenu!
 
Utamaduni wetu ni lugha ya kiswahili na kuongea kuonekana we ni mtanzania kutokana na Utamaduni wenu lugha yenu ni kiswahili ni jambo la kujivunia

Umeandika Uzi mzuri ila kuwaingiza Mhe Lema na Msigwa kunafanya huu Uzi ukose wachangiaji kwa kuwa unaweka siasa kwa unachohitaji kutatua

Kwani ungeleta hoja bila lema na Msingwa usingeeleweka?
 
Wakuu tumeona namna ndugu zetu MPs Msigwa na Lema wanavyojiuma uma katika kujieleza Kwa kingereza ili dunia iweze kuwaelewa.

Humu JF kuna wataalamu wengi sana wanaojua vizuri English japo kuwa hawajaishi nchi zinazoongea English kama lugha ya taifa hivyo tunaweza peana mbinu za kumudu hii lugha.

Mimi Kwa uzoefu wangu naamini kusoma sana vitabu mbali mbali vya kingereza itasaidia sana kuongeza vocabularies katika English na itasaidia sana kunyoosha sentensi maana nyingi zitakuwa ni marudio ya vitabu ulivyosoma.Pia kujaribu kuangalia sana movies hasa series inaweza saidia kusikiliza matamshi ya maneno mbalimbali.

Hizo ni Kwa mtazamo wangu hivyo naomba tubadilishane mbinu ili tusiwe kama Lema (Mr Actually) na wengine wengi wanaoweza kututia aibu huko majukwaa ya kimataifa.

Karibuni Kwa michango yenu!
Mbona wameeleweka vizuri tu? Yaani wamejitahidi. Wanaweza wakawa wamekosea hapa na pale lakini cha msingi meseji imefika. Ni sawa na Mwibgereza angekuja hapa na kuongea kiswahili sidhani kama angekosolewa kwamba anaongea kiswahili ndivyo sivyo..Wamejitahidi kadri ya uwezo wao
 
Mwl wangu o level aliniambia niwe naimba miziki ya kizungu ili kufanya ulimi uwe mwepesi...ilisaidia saana na kusoma vtabu pia kuongeza vocabulary
 
Practice make perfect....always speak, even wrong
 
Back
Top Bottom