Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Humu JF kuna wataalamu wengi sana wanaojua vizuri English japo kuwa hawajaishi nchi zinazoongea English kama lugha ya taifa hivyo tunaweza peana mbinu za kumudu hii lugha.
Mimi Kwa uzoefu wangu naamini kusoma sana vitabu mbali mbali vya kingereza itasaidia sana kuongeza vocabularies katika English na itasaidia sana kunyoosha sentensi maana nyingi zitakuwa ni marudio ya vitabu ulivyosoma.Pia kujaribu kuangalia sana movies hasa series inaweza saidia kusikiliza matamshi ya maneno mbalimbali.
Karibuni Kwa michango yenu!
Mimi Kwa uzoefu wangu naamini kusoma sana vitabu mbali mbali vya kingereza itasaidia sana kuongeza vocabularies katika English na itasaidia sana kunyoosha sentensi maana nyingi zitakuwa ni marudio ya vitabu ulivyosoma.Pia kujaribu kuangalia sana movies hasa series inaweza saidia kusikiliza matamshi ya maneno mbalimbali.
Karibuni Kwa michango yenu!