MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,093
- 7,229
Salamu wana JF,
Ninaomba msaada wa kujua utaratibu wa kufata unapotaka kuomba ajira ya ualimu wa sekondari serikalini kwa mwenye shahada ya kwaanza ambaye yuko kwenye mfumo wa taasisi binafsi, mlengwa ni muhitimu wa wa shahada ya elimu mwaka 2012 , hasa ukizingatia kuwa nafasi za ajira ya ualimu wa sekondari hazitangazwi kwenye vyombo vya habari. Mlengwa anatamani sana kujiunga na ajira ya ualimu wa sekondari katika serikali ila sijajua namna ya kufanya . Ikumbukwe kuwa ajira za ualimu 2014/2015 bado hazijatangazwa mpaka sasa na serikali , hivyo nadhani inaweza kuwa nafasi mwafaka kwangu kupata nafasi hii adimu ili niweze kulitumikia taifa langu.
Kwa yeyote Mwenye kujua nini cha kufanya au utaratibu upi wa kufuatwa , au kuniunganisha na wahusika muhimu wataomsaidia , tafadhali tuwasiliane hapa jukwaani, na pia kwa maelezo zaid naomba uni PM .
Asanteni kwa mawazo yenu na ushauri mtaonipa.
N.B:Matumizi ya lugha ya staha ni muhimu .
Ninaomba msaada wa kujua utaratibu wa kufata unapotaka kuomba ajira ya ualimu wa sekondari serikalini kwa mwenye shahada ya kwaanza ambaye yuko kwenye mfumo wa taasisi binafsi, mlengwa ni muhitimu wa wa shahada ya elimu mwaka 2012 , hasa ukizingatia kuwa nafasi za ajira ya ualimu wa sekondari hazitangazwi kwenye vyombo vya habari. Mlengwa anatamani sana kujiunga na ajira ya ualimu wa sekondari katika serikali ila sijajua namna ya kufanya . Ikumbukwe kuwa ajira za ualimu 2014/2015 bado hazijatangazwa mpaka sasa na serikali , hivyo nadhani inaweza kuwa nafasi mwafaka kwangu kupata nafasi hii adimu ili niweze kulitumikia taifa langu.
Kwa yeyote Mwenye kujua nini cha kufanya au utaratibu upi wa kufuatwa , au kuniunganisha na wahusika muhimu wataomsaidia , tafadhali tuwasiliane hapa jukwaani, na pia kwa maelezo zaid naomba uni PM .
Asanteni kwa mawazo yenu na ushauri mtaonipa.
N.B:Matumizi ya lugha ya staha ni muhimu .