Namna ya kuongeza mbegu/manii kwa wanaume

Namna ya kuongeza mbegu/manii kwa wanaume

Mwanaume ukijiwekea mfumo wa kila siku kupata vyakula vya asili,matunda mchanganyiko,kunywa maji mengi na kufanya mazoezi unakuwa umemaliza kazi mimi wanawake wote nilio wadonoa baada ya mchezo huwa wananiuliza hivi umetoka kifungoni maana dahawa huwa namna Hii[emoji116]
7410a65dbe859cb71790084d9ec0b8c7.jpg
 
Matunda ,Maharage,mayai has a kiini,mboga mboga.Katanga,mihogo,korosho sio kweli wewe sio daktari.ulivyo visema inaongeza mafuta na wanga.Proteins kukinga,kurutubisha na kuzalisha
 
Mwanaume ukijiwekea mfumo wa kila siku kupata vyakula vya asili,matunda mchanganyiko,kunywa maji mengi na kufanya mazoezi unakuwa umemaliza kazi mimi wanawake wote nilio wadonoa baada ya mchezo huwa wananiuliza hivi umetoka kifungoni maana dahawa huwa namna Hii[emoji116]
7410a65dbe859cb71790084d9ec0b8c7.jpg
Ehee mungu naomba mueke mbali mke wangu na huyu mgegedaji sio mtu mzuri
 
Kama hujataja mbegu za maboga, wewe lazima utakua muongo tu
 
[Karanga mbichi robo, mayai ya kuku wa kienyeji mawili, tende robo kilo unamenya na mkono nyama zake zile za tende mbegu zake unatupa, karanga unaziosha vizuri, unavunjia mayai yako mawili, mule kwenye mchanganyiko wa karanga na tende, maziwa yako ya tanga fresh pakiti moja, unasaga na blenda zile karanga mayai ya kuku wa kienyeji na tende, angalizo usizimue na maji, ukimaliza kuisaga na blenda unachukua grass moja unakunywa kutwa mara mbili asubuhi na usiku, inakuwa ndio juice yako kwa muda wa siku tatu, utakuja hapa kuniambia wakuu.
 
Vipo vitu vingi sana ambavyo mwanaume anatakiwa kutumia au kufanya ili kuongeza mbegu unaweza kusema namna bora ya kustawisha mbegu za manaume ili ziwe na rutuba nzuri. Miongoni mwa vitu hivyo ni utumiaji wa matunda na vyakula kama mihogo, karanga (haswa mbichi), viazi vitamu, Nazi (sio maji), korosho, Kweme n.k Pia ufanyaji wa mazoezi ili kuupa mwili nafasi nzuri ya kutengeneza manii bora kabisa. Ukifanya na kutumia vitu hivyo juu utakuwa na manii bora kabisa na utakuwa na uwezo wa kugegeda kila siku.

Naamini sijavitaja vyote embu na wewe ongezea vingine ili kuwasaidia na wengine wawe na uwezo mzuri wa kugegeda na kugawa kwa warembo wetu mbegu bora zaidi ya zinazotumiwa katika kilimo kwanza. Sifa ya mwanaume ni kugegeda pesa baadae.
images
SDC10200.JPG

View attachment 504507View attachment 504508
images
Da wew ni noma
 
Aiseeee bao la korosho linakuwa zitooo sana alafu la motooooo...
Wewe jinsia gani mkuu,unaweza ukawa unadai ni la moto huku wewe ni me.Wanaojua ubaridi au umoto ni ke otherwise umenichanganya mkuu.
Sasa kama naambiwa "baby la leo la motooo" ulitaka nisijue...
Daaaah ushatuvuruga tayari mkuu maelezo yako ya kwanza yametupeleka zaidi ya mbali.
Ni haki yako kufika huko mbali..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom