bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Ofisi inaitwaje mkuu?Maeneo ya corner bar utaipata mkuu
Nenda GS1wapo Tirdo msasani macho.wanatoa barcodeWadau habari!
Nimepata deal la kuuza bidhaa nje ya nchi ila moja ya vigezo vyake package lazima iwe na barcode, kwa hapa bongo wapi naweza kuipata?
Natanguliza shukrani!