Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau kwa yeyote mwenye uzoefu na ujuzi wa mambo ya Loans,
Naomba anijuze nifanyeje ili niweze kupata mkopo wa 1,000,000.
Nina biashara yangu ndogo yenye mtaji wa milioni 7.
Sina nyumba ya kuifanya dhamana,nina leseni na TIN namba!
Msaada pleaz,,,,!
Mkuu Mbwambo..Kwa retail bBusiness wanatoa hadi kiasi gani kama biashatra ipo eneo zuri?Nakushauri usipende kuazima kwa watu sana. Kama unaweza nenda Standard chartered Bank uwaombe wakukopeshe watakupa loan kama una biashara yako itakuwa dhamana yako
Mkuu Mbwambo..Kwa retail bBusiness wanatoa hadi kiasi gani kama biashatra ipo eneo zuri?
Ahsante sana mkuu... napafahamu pale.... nitazuka one tym nikawasikilize...Nakuomba uende Standard chartered Bank pale tawi la Posta karibu na Kanisa ulizia dada anakaa pale reception anahusika na mikopo
siwezi kumtaja majina yake hapa hadharani na wala siwezi kutoa namba yake hapa hadharani bila ridhaa yake si vyema
wewe ukimuuliza pale ukienda atakupa details zote.
changamka toka kwenye mtandao nenda pale karibu na kanisa kwa mbele karibu na CATS Group JENGO LINALOFUATA
KILA LAKHERI
Mjasiria.. nuilishapita Accessbank... mwanzoni biashara ilikuwa changa wakanitosa... baada ya muda wamepita wakakuta biashara imeanza kuzunguka wakajipendekeza nimewaweka pending kwanza...!!!Jaribu access bank pia wana mikopo kama hiyo. Halafu Mkeshahoi mimi sijakuelewa kwani hiyo namba uliyonayo ni ya huyo dada au ni ya benki, maana hapa kwanza ungesaidia sana kumtangaza.......bongo bwana bado sana.