Sio profit makingProject yako ni profit making or non profit making?
kilimi kakaHizo project zako zinalenga kwenye maeneo yapi? make oia kuna ambazo zinapewa kipaumbele siku hizi.
Mbona sioni app ya jina hilo? Au ina jina jingine.Kama unatumia smartphone pakua app inaitwa 'Project funding' utaona wafadhili wa ndani na nje wanaotoa ufadhili wa miradi mbalimbali
imekuwa mda, walishaifuta mkuu,hata Mimi juzi kati niliitafuta haipo,
Habari wana JamiiForums, mimi ni kijana wa kitanzania ninahitaji msaada wa namna gani ninaweza kupata mfadhili au wafadhili wa miradi (project) kutoka ndani au nje ya nchi kwa yeyote.
Anayefahamu namna ya kupata wafadhili anielekeze maana nina project tatu ambazo zikipata ufadhili zinaweza kutoa fursa ya kuajili baadhi ya watanzania
Karibuni kwa msaada
Umesajiliwa kama NGO?Habari wana JamiiForums, mimi ni kijana wa kitanzania ninahitaji msaada wa namna gani ninaweza kupata mfadhili au wafadhili wa miradi (project) kutoka ndani au nje ya nchi kwa yeyote.
Anayefahamu namna ya kupata wafadhili anielekeze maana nina project tatu ambazo zikipata ufadhili zinaweza kutoa fursa ya kuajili baadhi ya watanzania
Karibuni kwa msaada
Yaani kilimo alafu unasema sio profit making?kilimi kaka
Mkuu unaweza tusaidia hao funder mkuuYaani kilimo alafu unasema sio profit making?
Uma umri Gani? Kuna wafadhiri kibao sema wamebase sana Kwa vijana
Wafadhili wanapatikana kwenye nonprofit entities. Commercial no.Mimi nataka mfadhili wa kiwanda cha kutengeneza farniture za mbao