Namna ya kupata wawekezaji (investors) kwenye smelting plant kama viwanda vya awali

Namna ya kupata wawekezaji (investors) kwenye smelting plant kama viwanda vya awali

Dennis R Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
267
Reaction score
372
Moderator heading isomeke hivi
"Namna ya kupata waekezaji kwenye smelting plant kama viwanda vya awali"

Huu uzi utaonyesha namna ya kupata investors (waekezaji) kwenye smelting plant za natural gas, petrochemical, semiconductor, aluminium, copper, pig na iron hap Tanzania kama viwanda vya awali/viwanda mama
(Ntakua nachanganya kiswahili na kingereza)

Jina naitwa Dennis Robert shughuru, elimu bachelor of science in economics Mzumbe university

Sijatumwa na mtu au taasisi yeyote bali nafanya kwa sababu naipenda nchi yangu

Viwanda vya awali ni viwanda ambavyo vinabadilisha malighafi asilia na kuwa malighafi wezeshi

Sifa za viwanda vya awali
  1. Ni gharama sana kuvijenga mfano kujenga kiwanda cha kisasa cha magari ni bei rahisi kuliko alumium au copper smelter
  2. Vinahitaji uzoefu mkubwa sana kuvisimamia
  3. Serikali inatakiwa ijotoe sana kuvilinda mfano moja ya sababu marekani kupoteza viwanda vyake ni baada ya kufa kwa viwanda vya chuma ukienda eneo linaloitwa rust-belt miaka ya 1950's kulikua na maendeleo makubwa sana ila leo hii kumebakia miji mingi iliyokufa ni kwa sababu ya kufa kwa viwanda vya chuma
  4. Bei ya malighafi inayotokana na viwanda vya awali inabidi iwe ndogo ili viweze kuwa na faida kwa nchi.
  5. Nishati ya umeme vinavyotumua ni kubwa sana mfano aluminium smelter inaweza kutumia mpaka megawatts 3000 za umeme, yaani umeme wote unaozaloshwa kwa sahivi Tanzania unaweza tumiwa na smelter ya aluminium peke yake.

Mambo ya kufahamu juu ya hii miradi ya smelter hapa Tanzania
  1. Serikali haichangii fedha yeyote kama mtaji wa kujenga na kuendesha miradi.
  2. Muwekezaji ndo anajua atapata wapi fedha za kujenga mradi na kuendesha mradi.
  3. Miradi hii ni ya awali maana yake itakua inatoa raw material ambazo zitatumika na viwanda vya upili
  4. Serikali itafaidika na miradi hii kupitia ukuaji wa viwanda vya upili kama multiplier effects
  5. Melting zinatakiwa ziwe kubwa ili ziwe na faida na sio kuwa ndogo
Case 1
Bidhaa za plastic zinazozalishwa hapa Tanzaniapolyethylene, na polypropylene ambazo kwa asilimia kubwa zinatumika kama raw material kutengenezea plastic zinatoka nje ya nchi- hizi zikiwa zinazalishwa hapa nchini bei ya kutengeneza bidhaa za plastic itakua chini sana

Case 2
Bidhaa za aluminium mfano aluminium coil and wire coil ambazo ni kama raw material za kutengenezea aluminium zinatoka nje ya nchi- hii inafanya bidhaa za alimium zinazozalishwa hapa nchini zisiwe na ushindani kwenye soko la dunia

Case 3
Bidhaa zote za electronics zina-hitaji PCB (provate circuit board) na chip hizi hazizalishwi hapa Tanzania ndo maana inakua ngumu kutengeneza mfano tv, radio, simu n.k hapa Tanzania. Lakin kama PCB na chip zinazalishwa hapa nchini itakua ni rahisi sana kuwa na viwanda vinavyotengeneza tv, radio, simu n.k

CASE 4
Raw material zote zinazotengeneza bidhaa za mtumiaji wa mwisho za aluminium, copper, steel, plastic, na electronics zinatakiwa zizalishwe hapa nchi
 
Umeme wa uhakika na wa bei nafuu sana ni msingi wa viwanda, lazima kuwe na mpango wa umeme wa mda mrefu wa kuzalisha megawatts nyingi sana za umeme
  • Kwenye viwanda vya awali umeme utakua ni bure ili kufanya raw material zinazozalishwa kwenye hivi viwanda ziuzwe ndani na nje ya nchi kwa bei nafuu
  • Kwenye viwanda vya upili umeme watalipia ila kwa bei nafuu ili kuvutia waekezaji wengi
 
Viwanda vya awali vikikamilika ndoto ya Tanzania ya viwanda itatimia
Faida ya viwanda kwa Tanzania
  • Itaongeza wigo wa kodi
  • Itaondoa sekta ambayo sio rasmi
  • Itaondoa hizi squatter, na slums ambazo zipo kwa sababu watu watakua na kipato cha uhakika
  • Kasi ya maendeleo itaongezeka
 
Term of contract kwenye mkataba wa gesi- (ntakua nachanganya kiswahili na kingereza)
  1. 10% of direct tax from profit
  2. 18 years of operation after this period investors will handover plant to the government or will look for new agreement
  3. 30% of Tanzanian to be employed in core areas
  4. 10% of indirect tax of all products from natural gas refinery sold abroad
  5. 5% of indirect tax of all products from natural gas refinery sold domestic
  6. 5% value added tax
  7. Employees income tax 10%
  8. Gharama za ujenzi ni usd 42 billion dollar hii inajumuisha ujenzi wa mashine za offshore drilling kwa ajili ya kuchimba gesi asilia, na refinery ambayo itakua nchi kavu ndo maana gharama zimekua kubwa hivi
  9. 25% ya share atapewa mwekezaji baada ya miaka 18 ya uendeshaji
  10. Muwekezaji atapewa kipaumbele kwenye kujenga bomba la kusafirishia gesi
MULTIPLIER EFFECTS
  1. Mauzo ya fuel gas soko la ndani yanatakiwa yawe asilimia 75 chini ya soko la dunia
  2. Mauzo ya hudrogen kwenye soko la ndani yanatakiwa yawe chini kwa asilimia 50 kwa viwanda vya ndani
  3. Mwekezaji anatakiwa ajenge petrochemical plant itakayochakata butane, probane, ethane na kuwa raw material za kutengeneza plastics kama;- polyethylene, Polypropylene, methanol, etheylene, benzene, toluene, xylenes, n.k bei ya hizi bidhaa zinatakiwa ziwe asiliamia 50 chini kwenye soko la ndani ukilinganisha na soko la dunia.
  4. Location ya petrochemical plant-Dar es salaam
  5. 18 years of operation after this period investors will handover plant to the government or will look for new agreement.
  6. Viwanda vingi vya plastic havitakua na ulazima tena wa ku-import plastic raw material kama polyethylene, polypropylene, methanol, etheylene, benzene, toluene, xylenes, e.tc
  7. Machanganuo wa Petrochemical plant
  • Gharama za ujenzi za petrochemical ni usd billion 12
  • 10% direct tax from profit
  • 5% value added tax
  • 18% years of operation
  • 30% of Tanzania to be employed in core areas
  • 10% of indirect tax of all products sold abroad from petrochemical plant such as polyethylene, Polypropylene, methanol, etheylene, benzene, toluene, xylenes, e.tc
  • 5% of indirect tax of all products sold domestic from petrochemical plant
  • Employees income tax 10%

Petrochemical plant kwa kiasi kikubwa itachangia ukuaji mkubwa san wa viwanda vya plastics na bidhaa zitakua zinazalishwa kwa bei ya chini na zitakua bei chini pia kwenye soko la kimataifa kwenye huu mradi hii ndo sehemu ambayo serikali itapata mapato makubwa sana.

Gharama nzima ya miradi hii miwili ni usd 42 billion + usd 12 billion = usd 54 billion
Wewe unadhani fisadi ROSTAM AZIZI atakukubalia hayo😁😁😁😁😁😁😁
 
Kama taifa tuhakikishe yasitokee yale yaliyotokea kule kanda ya ziwa
Kuna migodi mikubwa na ni zaidi ya miaka 20 ila umaskini umetamalaki kila kona

Tukija kwenye gesi hili halikubaliki tupiganie rasilimali zetu mpaka tone la mwisho la damu
 
Back
Top Bottom