Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
[FONT=.Helvetica NeueUI]Recipe [/FONT][FONT=.Helvetica NeueUI]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Mahitaji[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]1 kikombe unga wa corn flower/[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]1kikombe brown sugar[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]2 vikombe white sugar[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]3 cup maji[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]1kijiko kimoja cha chai kungu manga[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Zafarani kijiko kimoja cha chai[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Iliki kijiko kimoja cha chai[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Mafuta ya kula vikombe viwili/unaweza tumia samli fresh[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Ufuta vijiko vitatu vya chakula[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Lozi vijiko 3 vya chakula[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Halua inapikwa kwa saa moja[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]
[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Namna ya kupika[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Chukua bakuli kubwa weka sukari zote white na brown,iliki,kungu manga,weka maji,na unga koroga hadi kila kitu kilainike yaani sukari na unga.[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Bandika sufiria yako jikoni iwe kubwa kiasi mimina mafuta au samli iache hadi ipate moto sana mimina ule mchanganyiko wako [/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Koroga bila ya kupumzika ikifika dk 45 weka ufuta wako/lozi,halafu koroga hadi litimie lisaa limoja.[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Hapo Halua yako itaku tayari Paka sinia mafuta mimina Halua yako iache ipoe tayari kwa kuliwa.[/FONT]
[/FONT]


Unaweza kuila hivi hivi,ukatumia kama kitafunio kwa kahawa. Bibie farkhina upo kaka BAK karibu haluwa hiyo...........
[FONT=.Helvetica NeueUI]Mahitaji[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]1 kikombe unga wa corn flower/[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]1kikombe brown sugar[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]2 vikombe white sugar[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]3 cup maji[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]1kijiko kimoja cha chai kungu manga[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Zafarani kijiko kimoja cha chai[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Iliki kijiko kimoja cha chai[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Mafuta ya kula vikombe viwili/unaweza tumia samli fresh[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Ufuta vijiko vitatu vya chakula[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Lozi vijiko 3 vya chakula[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Halua inapikwa kwa saa moja[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]
[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Namna ya kupika[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Chukua bakuli kubwa weka sukari zote white na brown,iliki,kungu manga,weka maji,na unga koroga hadi kila kitu kilainike yaani sukari na unga.[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Bandika sufiria yako jikoni iwe kubwa kiasi mimina mafuta au samli iache hadi ipate moto sana mimina ule mchanganyiko wako [/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Koroga bila ya kupumzika ikifika dk 45 weka ufuta wako/lozi,halafu koroga hadi litimie lisaa limoja.[/FONT]
[FONT=.Helvetica NeueUI]Hapo Halua yako itaku tayari Paka sinia mafuta mimina Halua yako iache ipoe tayari kwa kuliwa.[/FONT]
[/FONT]


Unaweza kuila hivi hivi,ukatumia kama kitafunio kwa kahawa. Bibie farkhina upo kaka BAK karibu haluwa hiyo...........