JITU LA MIRABA MINNE JF-Expert Member Joined Mar 28, 2015 Posts 726 Reaction score 476 Apr 8, 2015 #1 Msaada wakuu: Mtu wangu wa karibu ameathiriwa sana na losheni na scrub ngoz yake ni yenye mafuta imesinyaa sana na mafuta bado yapo naomben njia ya kusawazisha ngozi yake iwe kawaida hasa kwa dawa za chakula lishe na mitishamba kama zipo
Msaada wakuu: Mtu wangu wa karibu ameathiriwa sana na losheni na scrub ngoz yake ni yenye mafuta imesinyaa sana na mafuta bado yapo naomben njia ya kusawazisha ngozi yake iwe kawaida hasa kwa dawa za chakula lishe na mitishamba kama zipo
Makuku Rey JF-Expert Member Joined Dec 31, 2013 Posts 3,497 Reaction score 3,823 Apr 8, 2015 #2 mh! ssrub husababsha ngozi kusinyaa? labda hizo ni cream zenye hydroquinone, awe anapaka asali mbichi kutwa mara tatu, atapona tu!
mh! ssrub husababsha ngozi kusinyaa? labda hizo ni cream zenye hydroquinone, awe anapaka asali mbichi kutwa mara tatu, atapona tu!
JITU LA MIRABA MINNE JF-Expert Member Joined Mar 28, 2015 Posts 726 Reaction score 476 Apr 14, 2015 Thread starter #3 Sasa asali anapakaa uso mzima?
kalagabaho JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 5,457 Reaction score 5,893 Apr 14, 2015 #4 Makuku Rey said: mh! ssrub husababsha ngozi kusinyaa? labda hizo ni cream zenye hydroquinone, awe anapaka asali mbichi kutwa mara tatu, atapona tu! Click to expand... Hiyo asali inapakwaje maana asali ni nzito tofauti na mafuta au lotion ya kawaida
Makuku Rey said: mh! ssrub husababsha ngozi kusinyaa? labda hizo ni cream zenye hydroquinone, awe anapaka asali mbichi kutwa mara tatu, atapona tu! Click to expand... Hiyo asali inapakwaje maana asali ni nzito tofauti na mafuta au lotion ya kawaida