Namna ya Kusalimiana na Mke wa Mtu

Namna ya Kusalimiana na Mke wa Mtu

busy bees

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
2,249
Reaction score
1,340
7eaa20d1cc7e38e537746b2e60f73083.jpg
 
hapo mke wa obama kimoyo moyo anasema ajue bado nalipa... hakuna kitu kizuri kama hicho hasa mbele ya mwenzio inaongeza credit
Umpate pia mwenye wivu but anaejitambua .... mana kama hatarusha ngumi ama kijembe basi huko nyumbani UNALO .... Utawashiwa moto balaaa [emoji1] [emoji1]
 
ha haha na huo moto ndiyo tunautaka kumbe uanipenda .. ila ukikaa kimya mmh nawaza mara mia mia
Moto mwingine weeeee .... achana nao makofi na kufinywa juu [emoji1] [emoji1] utataman angepotezea
 
mi linauma labda kama unachapa halafu unanipa pesa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nmecheka kwa sauti hadi majukwaa yote ya JF yamesimamisha shughuli zao kwa muda
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nmecheka kwa sauti hadi majukwaa yote ya JF yamesimamisha shughuli zao kwa muda
ha hahahaha ha ndiyo hivyo
 
Hawa watakuwa wale walokole wa mchana au mbele za mmewe lakini wakiwa wawili tu wanapeana "atoto" tamuu
" ..... wakiwa wawili tu wanapeana "atoto" ...... [emoji15] [emoji15] [emoji15] wataalamu wa lugha njooni huku mtujuze "atoto" ndo nn?
 
Back
Top Bottom