imekushinda kivipi kufakamia au kutayarisha?Kati ya misosi ilonishinda mimi ni lazanya..all the best
kati ya misosi ninayopenda kuila basi ni huu!!Kati ya misosi ilonishinda mimi ni lazanya..all the best
Wapendwa msaada namna ya kutengeneza hii kitu, nilikaribishwa mahali mwaka mpya na ilikuwa moja ya menu
C:C farkhina, MziziMkavu, Mrs Kharusy
Ndo nini hii kitu!?
Inaonekana ni chakula cha kizungu hivi maana mie mwenyewe hata sikijui
Kesho nitakutumia picha
Sasa picha itanisaidiaje?Badala useme utanipikia
Wapendwa msaada namna ya kutengeneza hii kitu, nilikaribishwa mahali mwaka mpya na ilikuwa moja ya menu
C:C farkhina, MziziMkavu, Mrs Kharusy
Kupika sijui kwakweli, me najua kula tu
Basi sitaki unitumie mapicha mie nilijua nitapikiwa kumbe hata kupika hujii...😛
Kama unataka chai naweza ila kingine chochote samahani sana
Haya niambie hicho chakula kwa kiswahili kinaitwaje?
Duh! Kwa kiswahili itakua hamna, ni vyakula vya kitaliano na kisomali