Namna ya kuzungumza na majini na viumbe wengine katika ulimwengu wa pepo

Namna ya kuzungumza na majini na viumbe wengine katika ulimwengu wa pepo

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
UTANGULIZI
Maisha tunayoishi yamegawanyika katika namna mbili. Ulimwengu wa Mwili na Ulimwengu wa Pepo.
Binadamu ni manifestation yetu katika ulimwengu wa mwili kutokea katika ulimwengu wa pepo. Mtu anapozaliwa tunaanza kumfundisha mambo ambayo anayaona kwa damu na nyama. Kwahiyo elimu kubwa anaipata ya kwenye phyisical world.

NAMNA YA KUWASILIANA NA MAJINI
Majini ni viumbe wanaoishi katika ulimwengu wa pepo. Ndani ya ulimwengu wa pepo wanajua na kuona vitu vingi ambavyo sisi hatuwezi kuviona kutokana na kupata elimu kwa muda mrefu kupitia ulimiwengu wa nyama. Leo nataka kufundisha namna ya kuwasiliana na viumbe waliopo katika ulimwengu wa pepo. Ikiwemo majini na malaika.

KUFUNGA MILANGO YA FAHAMU
Namna ya kwanza kabisa ni kupata utulivu wa kuweza kufunga milango ya fahamu. Milango ya fahamu huwa ina distract umakini wa ulimwengu wa pepo. Zipo njia kadha wa kadha zinazoweza kusaidia katika kufunga milango ya fahamu. Kwa kuanzia nitaanza na njia inayoitwa Chanting

Chanting
ni njia inayotumiwa na waumini wa imani mbalimbali. Walokole wanasema Kunena kwa lugha. Lakini dini karibia zote huwa zinatumia njia hii ili kujiingiza katika ulimwengu wa pepo.

Chanting ni kuongea maneno marahisi yanayotamkika kwa kurudia rudia. Unaweza kuyaongea kwa haraka haraka na kisha unakuwa induced kwenye ulimwengu wa pepo.

Kufunga milango ya fahamu siyo ndio kuweza kufanya vitu kwenye ulimwengu wa pepo. La hasha unaweza kufunga milango ya fahamu na kuingia kwenye ulimwengu wa pepo na usijue cha kufanya. Ulimwengu wa pepo ni mkubwa sana upo na mambo mengi.

Katika bandiko langu hili nitakuwa natoa kidogo kidogo siri kwa wale wataofuatilia na kuunganisha dots wataelewa na kupata elimu kubwa iliyoachwa miaka na miaka.

KARIBUNI

Nitaendelea...
 
CHANTING
Hii ni namna ya kuuzubaisha ubongo uache kufuatilia mambo ya kidunia.

Watu wengi wanapofanya chanting na kuingie ulimwengu wa roho wanakuwa washamba. Wakiona vitu katika ulimwengu wa roho waneweka kwenye memories zao na kupiga kelele ovyo.

Wengine wakiona vitu kwenye ulimwengu wa pepo wanaendelea kushangaa. Ni kama mshamba kutoka vijijini akiingia mjini wanvyoshangaa. Wanaacha kufanya chochote na kushangaa. Wakija kwenye memory za ulimwengu wa nyaama wanaanza kutoa maneno mengi ya ajabu ajabu. Wengine wanarukwa na akili. Wengine wanasema wamemuona Mungu.

Ngojav nangalia mpira wa yanga nitaendelea....
 
AMKA USIKU BAADA YA KULALA
Usiku ndio muda mzuri wa kufanya chanting maana hakuna interference kubwa.

Tatizo watu wengi wanaingia kwenye ulimwengu wa pepo accidentally. Wanakuwa hawana target yoyote.

Set target yako kuwa unataka nini kwenye ulimwengu huo.
Kuna maneno kama Abracadabra unaweza ukayaongea kwa kurudia rudia.
Maana yake ni “I create as I speak'” ni lugha ya kilatini.

Inaweza ikawa ni ngumu sana unapoanza. Lakini endelea kila siku kwa siku 7. Baadae utaanza kufanikiwa kuingia kwenye ulimwengu wa pepo.

Chochote ukikiona wala usiogope. Jifunze na kuanza kuona vilivyo kwenye ulimwengu wa pepo.

Ndoto zako zitaanza kubadilika.

Nitaendelea....
 
AMKA USIKU BAADA YA KULALA
Usiku ndio muda mzuri wa kufanya chanting maana hakuna interference kubwa.

Tatizo watu wengi wanaingia kwenye ulimwengu wa pepo accidentally. Wanakuwa hawana target yoyote.

Set target yako kuwa unataka nini kwenye ulimwengu huo.
Kuna maneno kama Abracadabra unaweza ukayaongea kwa kurudia rudia.
Maana yake ni “I create as I speak'” ni lugha ya kilatini.

Inaweza ikawa ni ngumu sana unapoanza. Lakini endelea kila siku kwa siku 7. Baadae utaanza kufanikiwa kuingia kwenye ulimwengu wa pepo.

Chochote ukikiona wala usiogope. Jifunze na kuanza kuona vilivyo kwenye ulimwengu wa pepo.

Ndoto zako zitaanza kubadilika.

Nitaendelea....
Eti mkuu Crocodiletooth na Magical power hili sign ya abracadabra ni la kuita majini kuingia ulimwengu wa pepo au ni kutibu ugonjwa au maradhi? Naombeni ufafanuzi kwenye ulimwengu wa roho
 
Kaka
Huu uzi wako hauna tofauti na masimulizi ya hekaya za Abunuwasi au hadithi za kusisimua za Alfu Lela ulela.

Kwanza ulijuaje na unathibitishaje huo ulimwengu wa pepo upo?

Au unaleta hallucinations zako?
kwanini unadhani sio halisi ulimwengu usiionekana?
 
Kwa sababu ulimwengu huo hakuthibitishiki upo.

Ulimwengu huo usio onekana ni hadithi zisizo na uthibitisho wowote ule.
Upo na uthibitisho wa kuwa hizo ni hadithi tu na siyo kweli?. Mawimbi ya saudi ya redio umewahi kuyaona? Do you know about Energy? Wanasanyansi mpaka leo wanajua uwezo wa Energy lakini energy yenyewe hawaijui.
 
Eti mkuu Crocodiletooth na Magical power hili sign ya abracadabra ni la kuita majini kuingia ulimwengu wa pepo au ni kutibu ugonjwa au maradhi? Naombeni ufafanuzi kwenye ulimwengu wa roho
images (2).jpeg
 
Tunadanganyana sana humu kuhusu majinni, mbona JF 98 kwa mia ni majinni watupu humu na tunazungumza kama kawaida, bila kuonana wala kujuwana?

Kuzugumza na majinni, wowote wawaye ni kwepesi sana. Msidanganyane.
 
Upo na uthibitisho wa kuwa hizo ni hadithi tu na siyo kweli?.
Wewe unayedai huo ulimwengu usionekana upo, ndio unatakiwa uthibitishe.

Ukishindwa kuthibitisha ni kwamba haupo.
Mawimbi ya saudi ya redio umewahi kuyaona? Do you know about Energy? Wanasanyansi mpaka leo wanajua uwezo wa Energy lakini energy yenyewe hawaijui.
Energy ni nini?
 
Wewe unayedai huo ulimwengu usionekana upo, ndio unatakiwa uthibitishe.

Ukishindwa kuthibitisha ni kwamba haupo.

Energy ni nini?
Haya tuanzie kwanza kwenye issue ya Energy. Unajua Energy ni nini? Energy exists but know one know it.

Tunajua matokeo yake lakini hatujui yenyewe ni nini.

The law of conservation of energy states that energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another.
 
Huu ulimwengu wa roho usipokuwa makini unaweza ukaishia kuwa mchawi, au nabii au kichaa nk ukiingia jaribu kuwa na upande kama shetani au Mungu ukiwa huna upande ni hatari na nusu.
Ulimwengu wa Roho hauna upande. Upande either ni Shetani or Mungu ni perceptions zetu tu.
Unakuwa kichaa kwasababu unataka kufananisha Physical World and Spiritual World together.
 
Tunadanyana sana humu kuhusu majinni, mbona JF 98 kwa mia ni majinni watupu humu na tunazungumza kama kawaida, bila kuonana wala kujuwana?

Kuzugumza na majinni, wowote wawaye ni kwepesi sana. Msidanganyane.

Kumbe
 
Back
Top Bottom