Namna ya kuzungumza na majini na viumbe wengine katika ulimwengu wa pepo

Huu uzi wako hauna tofauti na masimulizi ya hekaya za Abunuwasi au hadithi za kusisimua za Alfu Lela ulela.

Kwanza ulijuaje na unathibitishaje huo ulimwengu wa pepo upo?

Au unaleta hallucinations zako?
Ungekua mdadisi huu ubishi wa kijinga jinga usingekua nao.
 
Mkuu nasikia ukichukua Quran ukaingia nayo chooni ukaikanyaga. Unaita majini makali sana, Ukishindwa kuya controll unaweza ukachanganyikiwa . Hii imekaaje?
 
Hare Krishna Mantra;
Shetani anayo mambo mengi sana. Mtumishi mmoja aliwahi kusema kuwa "hata ukitaka kuuona moto kwenye upotevu, utauona"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…