Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
nataka nikajitambulishe nipeni kwanza vitu viwili cha kwanza kuna madhara yoyote ya kufanya hivyo ?pia je mchakato unaanzaje? ni hayo to great thinkers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nataka nikajitambulishe nipeni kwanza vitu viwili cha kwanza kuna madhara yoyote ya kufanya hivyo ?pia je mchakato unaanzaje? ni hayo to great thinkers
Andaa mahela na ng'ombe hasa kama binti ni mweupe, kamaliza la saba, mnene, meno meupe afu ana mwanya.
mengine ni mbwembwe.
Mkuu unavyosema madhara kwani ni mwanafunzi au under 18?
Wakileta mbwembwe za mahari kubwa piga mimba waambie kama vp wamtunze mtoto au wakuachie kimyakimya
Mmmh! ng'ombe tena !
Muulize mchumba wako,kila makabila wana taratibu zao,wakristo unatakiwa uje na barua ya kutoka kwa mchungaji unakoabudu.
Usisahau master card jombaa!.😛oa
Usisahau master card jombaa!.😛oa