Kuna siku nilikuwa nachat nae, basi nikamuambia kuna tatizo nitakutafuta tushirikiane kulitatua, ila nikamuomba asiniulize ni nini. Kweli hakuniuliza, akasema sawa. Ugumu unakuja, naanzaje kumuambia tutatue tatizo la kunuka k yako. Nimejikuta nimepiga kimya, nayeye hajawahi kuniuliza tena.
Anajua ndo maana.Kuna siku nilikuwa nachat nae, basi nikamuambia kuna tatizo nitakutafuta tushirikiane kulitatua, ila nikamuomba asiniulize ni nini. Kweli hakuniuliza, akasema sawa. Ugumu unakuja, naanzaje kumuambia tutatue tatizo la kunuka k yako. Nimejikuta nimepiga kimya, nayeye hajawahi kuniuliza tena.
Ha ha ha,,, siyo bhana. Huyo dame ni mkali zaidi ya wolper na ni msomi mwenye master degree, wolper kamzidi umaarufu tuu.
Nimuingiaje sasa ili kumsaidia, si lazima nirudiane nae, lakini I just wish aweze kupata stable relationship. Ana kila sifa ya kuwa mke wa mtu, ila naona watu wanafikiria ataishije ndani na hiyo harufu.Utamu si uliufurahia lakini? Usimfiche hili tatizo labda halijui anadhani ni kawaida tu.
Nimuingiaje sasa ili kumsaidia, si lazima nirudiane nae, lakini I just wish aweze kupata stable relationship. Ana kila sifa ya kuwa mke wa mtu, ila naona watu wanafikiria ataishije ndani na hiyo harufu.
Uko sahihi kabisa, ila ninahofia nitamuingiaje. Nahofu atajisikia vibaya mnoo na possibly self esteem yake itakuwa seriously affected.Si lazima urudiane naye. Msaidie tu kama binadamu mwenzio.
Huyo binti ana tatizo la uyoga (yeast) kwenye papuchi yake. Mwambie amuone daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama amsaidie kutatua tatizo lake. Sio vzr kumuona mwenzio anaachwa kila kukicha bila kufanya jitihadi za kumsaidia...sio poa hata kidogo.Habarini wadau,
Mimi ni mwanamume mwenye mke na watoto. Kipindi fulani hapo nyuma nilikutana na binti mmoja hakika alikuwa ni mrembo kupita wastani. Nilivutiwa nae sana na nikaamua kum approach ili ikiwezekana basi awe mchepuko. Alinipa shida kidogo lakini mwisho wa siku nilifanikiwa kumnasa.
Siku moja tukakubaliana kukutana faragha kwa ajili ya mchezo maalum, kweli binti yule alikuwa ameumbika mnoo. Tatizo lilikuja pale nilipopeleka mkono kwa bibi, kweli nilisikia harufu kali mnoo niliposogeza mkono puani. Nikaamua nisiendeleze mbwembwe nyingi za kyzama chumvini, nikaanza ku gegeda, kweli jamani kuna harufu ya uvundo ilikuwa inatoka kutoka kwa bibi harufu ambayo sijawahi kuisikia ktk kugegeda kwangu kote tangia nimeanza huu mchezo.
Nakiri, kwa upande wa ku sex huyu binti alikuwa anaweza mnoo. Kweli niliamua kuvumilia kwa kipindi, nikawa napata shida ni namna gani naweza kumueleza kitu kama hicho. Ikafika kipindi, nikawa namshawishi kabla ya kusex tukaoge, halafu najifanya kumuogesha huku nia ikiwa nimsafishe sana k yake, lakini cha kushangaza ilikuwa tukianza tuu kugegedana, ile harufu inatoma kama uvundo, halafu niliko kuna baridi na alikuwa anapenda tugegedane tukiwa tumejifunika blanket, basi akifanya hivyo ndo harufu yote naisikia.
Kweli, urembo wa huyu dada ulinifanya nimvumilie kwakuwa hata washkaji walikuwa wananipnea wivu mnoo ati mcheps wangu ni mkare kinyama.
Lakini kwakweli, ilifika wakati uvumilivu ulinishinda, kweli nikaamua nijitoe kwenye huu uhusiano, maana ile hali ilikuwa inanipa shida, yaani ilikuwa nikikojoa tuu nakimbilia bafuni kunawa kuondoa harufu.
Lakini kweli nakiri nilimuacha yule binti ilhali nikiwa bado nampenda, na alikuja kuingia kwenye mahusiano mengine mawili ambayo yote yalivunjika ndani ya muda mfupi. Tumekuwa tukiwasiliana, najua kwa uzuri wake na tabia yake, kinachomfanya watu wamuache ni hiyo harufu.
Sijui nifanyeje, natamani nimrudie, ila itabidi nihaki, ishe tatizo la harufu linaisha kwanza. Nao beni ushauri.
na malazi yawe safi...Kizuri hakikosi kasoro,na hiyo ndio yake kasoro(labda)...
Ndoa na iheshimiwe na watu Wote.
Naomba ushauri, nimuingieje na kumueleza hilo suala?Huyo binti ana tatizo la uyoga (yeast) kwenye papuchi yake. Mwambie amuone daktari bingwa wa magonjwa ya akina mama amsaidie kutatua tatizo lake. Sio vzr kumuona mwenzio anaachwa kila kukicha bila kufanya jitihadi za kumsaidia...sio poa hata kidogo.
Kwa jik au sabauni gani?Msafishe
Uko sahihi kabisa, ila ninahofia nitamuingiaje. Nahofu atajisikia vibaya mnoo na possibly self esteem yake itakuwa seriously affected.
Atakuwa mvulana huyo hajui maana ya "mchepuko".Mkuu acha kujitoa ufahamu, inamaana hujui ni ngumu kiasi gani kutokuwa na mchepuko?